Makao Makuu AU Addis Ababa-Ethiopia

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,883
6,884
a5.jpg


a3.jpg


a8.jpg


Hapa hata United Nation haitii mguu ndani
 
a1.jpg


a7.jpg


Mchina ndiye aliyesanifu kazi hii ya ujenzi wa OAU Addis Ababa, Ethiopia
 
sio kusanifu tu!!.....................gharama za ujenzi ni 100%, human labour ni 90+% kutoka china, maintenence abd operations ni 100% kutoka china................... sasa nini maana yake hiii???...................

ukoloni tu wa kichina huo................ hakuna lolote..................... aibu kwa bara la afrika.................. hata makao makuu ya umoja wa afrika ilibidi kutembeza bakuli china???...................... bora hata ingekuwa nyumba ya nyasi lakini yetu wenyewe waafrika na sio marumaru na mavioo ya kuomba............... khaaaa!!!.................... nimekereka kweli!!..............
 
Unamaanisha kweli OAU? ama ulikusudia AU??

Shukrani kunivuta koti, OAU ilishabadilika na kuwa African Union. Lakini halijaharibika neno kwa maana ni kitu kilekile ukirefusha maneno hayo.
 
sio kusanifu tu!!.....................gharama za ujenzi ni 100%, human labour ni 90+% kutoka china, maintenence abd operations ni 100% kutoka china................... sasa nini maana yake hiii???...................

ukoloni tu wa kichina huo................ hakuna lolote..................... aibu kwa bara la afrika.................. hata makao makuu ya umoja wa afrika ilibidi kutembeza bakuli china???...................... bora hata ingekuwa nyumba ya nyasi lakini yetu wenyewe waafrika na sio marumaru na mavioo ya kuomba............... khaaaa!!!.................... nimekereka kweli!!..............

Ukiwakabidhi wazalendo kufanya kazi hiyo ndio yale yale yaliyotokea lile jengo la bank kuu ya Tanzania lenye minara pacha. Bora hao pesa iliyokadiriwa inaonekana ilipoishia. Waafrika longolongo nyingi wakati utendaji duni.
 
Mchina ndiye aliyesanifu kazi hii ya ujenzi wa OAU Addis Ababa, Ethiopia

ni kweli, lakini angalia umaskini ulioizungu ethiopia

Sio tu ndie aliyesanifu majengo, bali pia mchina huyo huyo ndio amegharamia ujenzi wa jengo hilo zaidi ya bilioni 200, ambazo ametoa kama zawadi kwa waafrika kutokana na ushirikiano wa China na Afrika.
Aisee hii kitu Marekani wanaichukia sana.
Hapa wachina wamecheza Pele sana kwa hili; na viongozi wa Afrika wanavyopenda miteremko kama wa Kitonga, hakika kwa hili jengo tayari masikio wameshashikwa.

Mkuu MTM umenena vyema sana; hili jengo ni sawa na Kikwete anaposema kwamba maendeleo ni uwepo wa majengo na magari mengi mujini Darisalama!! Jengo ni zuri, lakini nje ya hapo kidogo, ni harufu kali ya umaskini uliokithiri!!
 
Najiuliza usanifu na uzuri wa makao makuu ya AU kama yanalingana na wanaoingia humo na maamuzi yao...
 
Tunaandaa utaratibu wa kujenga makao makuu ya East Africa pale Bagamoyo. Itakuwa Building kubwa sana zaidi ya hiyo, nayo itajengwa kwa ushirikiano wa Tanzania na China katika kudumisha urafiki wetu.
 
Yeah captivating structures,it is sad that AU is accomplishing less and less as time goes by.
 
Yeah captivating structures,it is sad that AU is accomplishing less and less as time goes by.

African Union itakaposambaratika Ethiopia itafarijika na mabaki ya majengo kama Tanzania ilivyonufaika na kusambaratika East African organization na kuambulia majengo ya AICC.
 
China is playing its cards right and Africa will have to pay back twice the construction cost through its minerals and other resources. The good thing about China is their neutrality on political issues as opposed to Americans who want to pursue both political and economic dominance over small countries.
 
Wachina wanashindana na wajapani kiuchumi na kwa sasa wameshaipiku Japani kwa vile japani walidhamiria kwenye electronic na aoutomobile, Chini wao kote kote.
 
Back
Top Bottom