Makao Makuu AU Addis Ababa-Ethiopia

Makao Makuu AU Addis Ababa-Ethiopia

FF, sijakuelewa hapa. You mean leaders attend AU meetings pale Addis kwa ajili ya kushuti? You cannot be serious....yaani watumie kodi zetu kwenda kushuti...kwani do you need a space to 'shuti'! Hapo kwa mtaji huu hakuna mjadala. Naamini mwuliza swali alitaka kujua aina ya maamuzi ambayo viongozi hufanya hapa Addis huwa ni mabovu ukilinganisha na ubora wa majengo!
Kwani hawashuti?

Kushuti = kujamba! Kimombasa.
 
a5.jpg


a3.jpg


a8.jpg


Hapa hata United Nation haitii mguu ndani


kazi ya MCHINA hatari sana !
 
Hapo ndipo mahali ambapo idiot wetu huwa anaenda kutemea rubbish zake ---------------- manufacturing of teachers!
 
Nimeshangaa na kusikitika sana kuhusu taarifa kuwa China ndio wamegharamia ujenzi wa makao makuu haya mapya ya AU. Ina maana hatuwezi wenyewe? Its official now Africa ni mali ya China!
 
sio kusanifu tu!!.....................gharama za ujenzi ni 100%, human labour ni 90+% kutoka china, maintenence abd operations ni 100% kutoka china................... sasa nini maana yake hiii???...................

ukoloni tu wa kichina huo................ hakuna lolote..................... aibu kwa bara la afrika.................. hata makao makuu ya umoja wa afrika ilibidi kutembeza bakuli china???...................... bora hata ingekuwa nyumba ya nyasi lakini yetu wenyewe waafrika na sio marumaru na mavioo ya kuomba............... khaaaa!!!.................... nimekereka kweli!!..............
tumeshindwa hata kuchangia shughuli za msingi kuendesha umoja huu lakini (sijui) tunafurahia kujengewa na 'foreigners' facilities kama hizi.

Je huyu mtu akitwambia wote tusihoji juu ya ushoga (maana ndio mjadala sasa) tutathubutu kukataa!?

Ama kweli, "the devil must be roaming somewhere in Africa"!
 
sio kusanifu tu!!.....................gharama za ujenzi ni 100%, human labour ni 90+% kutoka china, maintenence abd operations ni 100% kutoka china................... sasa nini maana yake hiii???...................

ukoloni tu wa kichina huo................ hakuna lolote..................... aibu kwa bara la afrika.................. hata makao makuu ya umoja wa afrika ilibidi kutembeza bakuli china???...................... bora hata ingekuwa nyumba ya nyasi lakini yetu wenyewe waafrika na sio marumaru na mavioo ya kuomba............... khaaaa!!!.................... nimekereka kweli!!..............

Mwenyewe hizi taarifa zimenikera haswa, poor africans! Tushauzwa kwa Mchina bei sawa na bure! Hakika China watarudisha USD 200 Mn na faida kubwa tu kupitia mikataba mbalimbali!
 
Ukiwakabidhi wazalendo kufanya kazi hiyo ndio yale yale yaliyotokea lile jengo la bank kuu ya Tanzania lenye minara pacha. Bora hao pesa iliyokadiriwa inaonekana ilipoishia. Waafrika longolongo nyingi wakati utendaji duni.

Wachina wanawajua MaRais wa Africa na tamaa yao ya pesa wakaona afadhali wawakabidhi jengo ama sivyo wangewapa hizo pesa za jengo AU wajenge wangegawana nusu ya hizo pesa na kuwanunulia wake zao heleni na mikufu ya dhahabu!!
 
Mchina anawekeza hapo, atalipwa kupitia mikataba mbalimbali ya uchimbaji mafuta, madini na maliasli nyingine.
 
jengo kuuubwa lakini shirikisho lenyewe ni toothless dog...... Joka la kibisa haling'ati
 
Kazi ya Rip Gaddafi hiyo., ndiye amewezesha ujenzi wa jengo hilo.
 
hakuna cha kujivunia juu ya hili ona ambavyo wakuu wetu wa nchi wanavyoenda kustarehe huku wananchi wakila unga wa dona tena unaotokana na mahindi ya msaaada. Natamani hili ndo lingekuwa kaburi la Gaddafi mana hizo ndiyo juhudi zake za kuiunganisha africa. Inauma sana basi tu bora kura ugali na dagaa kuliko maini na manyanyaso,
 
Africa hatujiwezi hata kidogo, sijui lini itafikia point ya sisi wenyewe kujiendesha bila ya misaada. labda mungu aumbe dunia upya otherwise tumeshashindikana.
 
Wachina walivyo wataalam, kila kitakachofanyika humo watakuwa wanakiona na kukisika, hata viongozi wetu hao wakienda toilet, nyeti zao zitaonwa in detail, Waliotahiriwa, wenye magovi, waliokeketwa nk, gadget zilizotegeshwa humo sio mchezo!
 
Back
Top Bottom