Makao Makuu ya IRGC yaangamizwa huko Tehran

Makao Makuu ya IRGC yaangamizwa huko Tehran

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
9,000
Reaction score
7,618
Makao makuu ya IRGC huko Tehran yameangamizwa na ndege-vita za Usrael huko Tehran Iran.

Hata vita hii ikiisha leo hii Iran itakuwa imepara kilema cha maisha:
1. Imepoteza Airforce.
2. Imepoteza Navy
3. Imepoteza Air-defence.
4. Imepoteza viongozi wake

 
Makao makuu ya IRGC huko Tehran yameangamizwa na ndege-vita za Usrael huko Tehran Iran.

Hata vita hii ikiisha leo hii Iran itakuwa imepara kilema cha maisha:
1. Imepoteza Airforce.
2. Imepoteza Navy
3. Imepoteza Air-defence.
4. Imepoteza viongozi wake

View attachment 3566367
Angalia choko hili hapa tena, na upupu, siku zote eti ndio leo IRGC imepigwa, pumbavu kabisa halafu unaokota tu video mtandaoni na kupachika
 
Kwa huu utawala uliopo sasa nchini Iran kama ndio utabaki madarakani basi Iran kuja kurudi kama ilivyokua kabla ya hii vita itawachukua takriban miaka 50.

Hata kama hawatarudi kwenye zama za mawe lakini watarudi kuwa taifa la hovyo ni hakuna mfano na kibaya zaidi bado wataendelea kupambana na vikwazo vikali vya kiuchumi.

Oh Poor Iran.
 
Kwa huu utawala uliopo sasa nchini Iran kama ndio utabaki madarakani basi Iran kuja kurudi kama ilivyokua kabla ya hii vita itawachukua takriban miaka 50.

Hata kama hawatarudi kwenye zama za mawe lakini watarudi kuwa taifa la hovyo ni hakuna mfano na kibaya zaidi bado wataendelea kupambana na vikwazo vikali vya kiuchumi.

Oh Poor Iran.
Unachofeli ni kutumia akili za kitanganyika kuwafikiria waajemi.
 
Makao makuu ya IRGC huko Tehran yameangamizwa na ndege-vita za Usrael huko Tehran Iran.

Hata vita hii ikiisha leo hii Iran itakuwa imepara kilema cha maisha:
1. Imepoteza Airforce.
2. Imepoteza Navy
3. Imepoteza Air-defence.
4. Imepoteza viongozi wake

View attachment 3566367
Hizo picture zingine ni AI we chizi basi kama wameangamiza basi wameisha shinda vita hahaha

Hebu tazama Tela Aviv karibu utakosa vyoo vya kusafisha


View: https://youtube.com/shorts/eCIJrAQL32Q?si=LoDe-6F-HUhrhaHk
 
Hii vita inatengeneza Iran mpya. Iran ingeachana na hayo mambo ya nuclear na maballistic ya masafa mareu, na kuacha ufadhili wa makundi ya kigaidi, isingekutana na hali hii, na ingekuwa miongoni mwa mataifa yenye maendeleo makibwa. Lakini kutokana na uhayawani wa watawala? Wairan wanaishi kwenye umaskini mkubwa. Iran ndiyo nchi pekee mashariki ya kati, ambayo wananchi wake wengi wamezagaa kwenye mataifa mengine ili kutafuta hali nzuri ya maisha, kwa sababu Iran haikaliki. Wairan walio wengi, hata kula nyama ni anasa:

Iran is facing a severe economic crisis with approximately 30–36% of its population living in poverty. Driven by, persistent 60% average inflation, soaring food prices, and international sanctions, households are cutting back on essentials like meat. The crisis, exacerbated by mismanagement and corruption, has left nearly 30 million people struggling with basic needs.

Baada ya hii vita, zaidi ya 50% ya Wairan watakuwa kwenye umaskini wa kutupwa.. Nchi ni maskini, halafu kidogo kinachopatikana, chote kinapelekwa kwenye miradi ya makombora na kufadhili makundi ya kigaidi.

Iran is a resource-rich nation—possessing the world's second-largest natural gas and fourth-largest oil reserves—that currently suffers from high poverty rates, with roughly 30% to over 50% of its population living below the poverty line.
 
Angalia choko hili hapa tena, na upupu, siku zote eti ndio leo IRGC imepigwa, pumbavu kabisa halafu unaokota tu video mtandaoni na kupachika
Safari hii mtanyooka tu kipondo kiko palepale kwa Iran!!
 
Back
Top Bottom