Makanisa yavunje MoU na Serikali...

Makanisa yavunje MoU na Serikali...

wadau kutokana na kelele nyingi za malalamiko kutoka kwa wenzetu waislam kuhusu MoU kati ya kanisa na serikali, naomba mtu yeyote mwenye uwezo wa kuupata huo mkataba aulete hapa jukwaani ili tuujadili na tubaini kama tuhuma dhidi ya mkataba huo kuwa ni wa upendeleo kwa wakristo ziko valid ama vinginevyo

natanguliza shukrani
 
Hata waliosoma kama wewe huna uwezo wa kupembua mambo. Serikali ya Waingereza walitoa huduma za jamii kupitia makanisa ili waislamu wasipate nafasi ya kusoma. Baada ya uhuru, Nyerere aliendeleza hali hiyo hata kama mchango wa Waislamu katika uhuru ulikuwa mkubwa sana. Mbaya zaidi juhudi za kuwainua waislamu kielimu, kiuchumi na kijamii zilififishwa na Nyerere kwa kuvunja taasisi ya Kiislamu iliyotaka kujenga Chuo Kikuu cha kwanza cha binafsi pale Chang'ombe baada ya kuona Chuo Kikuu ambacho kilijengwa kwa michango ya Waislamu kikiwabagua. Mikoa yenye Waislamu wengi hasa ya Pwani ya Tanga, Mtwara, Pwani, Kigoma/Ujiji, Tabora iliwekewa Mikakati maalum ya kuidhoofisha. Mikakati hiyo hasa ile ya elimu ilifanywa na Nyerere kwa kuweka infrastrucure zitakazofanya kazi ya kuhakikisha kuwa inafanikiwa. Baraza la mitihani ni kielelezo kizuri ambapo leo nyie mnaojifanya mmesoma ndilo mnalolitumia kutoa division one zote kwa Marian Girls. lakini hawa wakienda huko mbele wanakuwa ni kituko tupu. Haya yanajidhirisha moja kwa moja.

Kisha iwapo sehemu kubwa ya workforce ya Tanzania ni wasomi wakristo basi maandeleo duni yaliyopo yanatokana na workforce hii. Sasa tuna question elimu yenu ni mchnago wake kwa maendeleo ya taifa. Elimu yenu mnaitumia kutengeneza MOUs za kunufaisha kanisa huku nchi ikiwa inakwenda harijojo tu?

Tizama Nyerere Mkristo = utawala 25 years: maendeleo ya kiuchumi ZERO. kama umezaliwa juzi basi tunakukumbusha tu kwamba hata CHUMVI tulikuwa tunaipata kwa foleni ya kutanguliza jiwe. Songea - Dar siku mbili barabarani, barabara za Dar - matope tupu. Usomi wake wa kikristo unatusaidia nini hapa???????????

Mkapa - utawala miaka 10 - at least mabadiliko ya kiuchumi ambayo ni mwendelezo wa mabadiliko aliyoanzisha Sheikh Mwinyi. Rushwa 200%. Emblezzlement - 500%

Kwa kifupi usomi wa kikanisa ni kikwazo kwa maendeleo ya taifa. kanisa limekuwa kikwazo cha maendeleo kwa watu wengi kwa sababu ya ubinafsi wake.

Jitazame elimu yako kisha jipime umefanikiwa nini kama sio wizi tu ulioufanya ukiwa kwenye ofisi ya umma

nikupongeze kwasababu unajua kupangilia maneno ingawa hayana ukweli hata kidogo. kimsingi mikoa uliyoitaja bila NYERERE kuitazama kwa upendeleo mpaka leo hii ndio pengine ingekuwa na watu walio soma sekondari na vyuo vikuu wasio zidi 20.ASILI YA QUATER SYSTEM ni mwl NYERERE, baada ya kuona mikoa ya LINDI, MTWARA, PWANI,KIGOMA NA TABORA haipeleki wanafunzi sekondari ikabidi agawe nafasi hizo kwa mikoa hiyo ipeleke wanafunzi sekondari ingawa hawaja faulu ukilinganisha na mikoa yenye wakristo wengi.fikiria hivi mpaka leo kusoma ni kama wanalazimishwa. mkoa mzima wa mtwara mwaka jana wamekwenda kidato cha tano wanafunzi 120 tu. lindi wamekwenda si zaidi ya 100. idadi ya shule ni nyingi kuliko wanafunzi wanao kwenda kidato cha 5 na baadae vyuo vikuu.
 
Ndugu zetu hawa kusoma kwao ni shida wavivu sana. Hata miaka kumi ya shekhe Mwinyi na miaka saba ya JK hawajafanya chochote. Mi nilitegemea kwa nguvu aliyokuwa nayo Nyerere ya kuwakandamiza waisilamu ingetumika na mwinyi na kikwete basi tungekuwa na shule angalau nusu za kiislamu. Vitabu vinasema elimu ya akhera ni muhimu kuliko dunia lakini wanataka nafasi za kidunia. Wakristotupo tayarai hata mtumie nusu ya bajeti ya elimu mkasome ili tukose watu wakudanganywa ili kuandamana siku za ijumaa.
 
JERUSALEMU
Shule zao siyo tu zinatia huruma lakini pia nyingi zinaendeshwa kimagumashi

Dini zote zinaiga namna mitume wao au manabii wao walivyokuwa wanaishi Wabudha-Giutama Budha (umonaki), Waislamu- Mtume Muhamad (alikuwa Mfanyabiashara), Wakristu-Yesu Kristu (alikuwa Mwalimu na Mponyaji).

Usishangae kuona kwamba Waislamu hawataki shule, wanapendelea biashara tokea wakiwa wadogo, wanatoroka shule kufanya umachinga. Wanamuiga Mtume ingawa biashara ya Mtume ilikuwa imeenda shule kwa maana ilikuwa ya kimataifa. Waliosambaza Uislamu walikuwa Waarabu wafanyabiashara pia (wengine hata ile biashara ya utumwa).

Sasa huoni hata waislamu kukataa shule wanaona sawa tu? Au? Kwa wakristu Nabii wao alikuwa Mwalimu na Daktari, hii ina maana kwamba yataka shule kwelikweli hapo? Cha kuwaambia waislamu ni kwamba wamuenzi Mtume kwa kufanya biashara iliyoenda shule (kama wafanyavyo Wairani-mpaka Marekani inaona wivu). Biashara ya namna hiyo, yataka shule kwanza!
 
jamani tupeleke watoto wetu shule kwa manufaa yao ya baadaye. Ujinga ni bidhaa aghali mno jamani. ni heri ufe lofa kabisa lakini ufe ukiwa umeelimika....by the way wakati tunawakumbusha wale walio nyuma kielimu kugutuka na kukaza buti, tuwakumbushe pia ku-review mifumo yao ya maisha na kuangalia ni kwa jinsi gani wata-adjust mahusiano ya dini zao na ilmu dunia.

Kusoma ni aghali sana siku hizi. ili uweze kumudu lazima ufanye plans ikiwa ni pamoja na kuwa na idadi ndogo ya watoto ili uweze kumudu gharama. sasa kama wewe unajikusanyia ving'asti hadi dala na kuendelea, assuming kuwa kila king'ast akikutotolea dabo, ina maana una kumi halafu wamefuatana, ajira yako unayofanya ni jembe la mkono..haya utamudu?!! nyerere alisema ili tuendelee tunahitaji mambo manne: watu, ardhi siasa safi na uongozi bora. shule za kanisa zinafundisha kuwa ili wanafunzi wafanikiwe wanahitaji mambo mawili......KAZI na SALA.

Waislmu ndugu zanguni ili kufanikiwa sala peke yake hazitoshi japo ni muhimu pia (kutegemeana na imani yako). Salini sana jamani lakini msishau na KAZI. Na ninaposema KAZI ni pamoja na kazi ya kutafuta ILMU DUNIA. acheni perepende mingi, chacharkeni aisee, mbbllahh!! la sivyo hawa wakirisito mtawaskia kwenye bomba tena la maji machafu. wakti nyie mnapiga perepende ya mtoto aliyekojolea kitabu wakti akicheza na mwenzake, wenzenu wameshatua huko mars aisee, kweli papaangu nawaambia!!!!!........haya, mi ndo hifoo nimeshasema, mwenye maskio na askiiii.....askie kweliiii. mi ngoja nkatafute pesa aisee....
 
Mkuu shikamooooo!!!!!!!!rais jakaya mrisho kikwete (muislamu) kwenye baraza la idd msikiti wa gaddaf dodoma mwaka jana alisema haina sababu ya kulia lia mliomba mkakataliwa??ombeni ntapitisha tu tatizo kwenye justification ya matumizi shule hamna,vyuo hamna,haospital hamna unataka ruzuku ya serikali ukafanyie nini???ntakojolea mimi nikinukishe ijumaa ijayo!!!!!!!!

wanaoaga ving'asti wengi haoooo!!! acheni tu serikali iwape hiyo ruzuka mbona pakuzitumia wanapo tu!!
 
makanisa yamenufaika sana na yanaendelea kunufaika na MOU pamoja na misamaha ya kodi.

Ndiomana serekali ilipojaribu kufuta misamaha ya kodi kwa taasisi za dini wakapiga kelele mpaka ikashindikana.

Serekali haijashindwa kujenga hosptali au shule, makanisa yaendeshe shule zake na hospt na yaache kutegemea kodi tunayolipa watanzania wote inufaishe watu wachache.

Tuangalie chanzo cha malalamiko ya waislam na tukitibu na sio kujaribu kutibu matokeo kama lilivyofanya tamko la maaskofu leo.

Kuishia kulaumu waislam sio suluhisho, makanisa yajitoe kwenye MOU na yasiingilie mambo ya waislam kama walivyofanya kwenye tamko lao la leo walipozungumzia suala la mwinyi kupigwa kofi au kugomea sensa.
Serikali imeshindwa, usiongelee swala kwa kujiangalia wewe ambaye unaishi mjini na labda mshahara wako unakuwezesha kutibiwa au kupata huduma ya elimu sehemu binafsi.

Mfano hospitali ya mkoa ya Mawenzi (Moshi) ilifungiwa vyumba vyao vya upasuaji na wakaguzi wa afya (serikali) kwa sababu zilikuwa chini ya kiwango na pia hazikuwa ktk usafi unotakiwa wa chumba cha upasuaji........hilo sikupingana nalo kwani kweli hali ya vile vyumba ilikuwa mbaya mno na uwezekano wa wagonjwa kupata complications baada ya upasuaji ulikuwa mkubwa. Lakini cha kushangaza hao hao wenyewe (serikali) hawajachukua hatua yeyote ktk kuhakikisha hizo huduma zinarudi kama kawaida.

Fikiria kama pasingekuwa na hospital ya KCMC yenye kutoa gharama kama hospital nyingine za serikali wangapi wangetibiwa pale tena ufikirie na emergency cases ambazo zinatokea tanga, arusha, kilimanjaro yenyewe na manyara?

Wakati unachangia hoja dont be selfish mana kuna wengine hata hizi gharama nafuu wanazishindwa, na nina kuambia jaribu kutembelea vijiji vya Tanzania uone ndio utaelewa umuhimu wa taasisi za dini katika ugawaji wa huduma za jamii. Kuna mahali wilaya nzima ina hospitali moja ya serikali tu nyingine ni taasisi za dini tena ni za hao hao wakristu.
Infact serikali inachochangia ni rasilimali watu na dawa.
 
Ni akili mgando hizo.

*Kwani waislam wanakatazwa kuwa na 'MOU' na serikali.

*MOU haiko kwenye taasisi za kidini pekee na serikali, zipo taasisi nyingi za umma kama NHC, NSSF, NIC wana 'MOU' na taasisi binafsi ikiwemo miradi mbalimbali.

*Hivi unajua kuna miradi mingapi ya afya inayomilikiwa na kanisa, na faida yake kijamii? Wewe hukai kijijini na wala ukiugua hutibiwi kijijini, maana ungeyajua haya wala usingesema.

*Makanisa yalianzisha miradi hiyo kuhudumia jamii nzima pasipo kubagua mtu kwa misingi ya kidini.


ndugu utaongea hapa mpaka kesho...cha kwanza la kufanya ni kuwapeleka hawa watu shule ili wajue nini kinachoendelea hapa kwenye nchi yao sio kupayuka tuu....si umesoma zile leaflet walizokua wanazisambaza misikitini eti moja ya sababu ya wao kuandamana hadi ikulu ni kwa kua rais JK alitembelea makanisa na sio misikiti...hivi kweli mtu na akili zake timamu ataambiwa kitu kama hichi na aamue kuacha familia yake akaandamane....
 
Mishear, asante, wapashe: Sala na kazi! Ora et labora! Hakuna zaidi!
 
Leo nimepita sehemu na ndevu zangu; naskia Waislamu shida yetu hatuna elimu, hoja tunazotoa ni kama za watoto wa darasa la saba; mimi nimesoma Egypt; nimesoma mengi sana nakuja kuwapa mikakati ya kuweza kujenga mahospital na mashule; Gadaf kaja kujenga msikit mkamshangilia badala ya kujenga university; si upumbavu; misikit tunayo mingi;je hospital na shule?hawa wakristo wanachangishana hawapendi ubwabwa; Tumezid ubahiri, tunaonekana hatuna mawazo ya maana zaid ya kuonekana makuli
MOU ni janja ya kanisa kujificha nyuma ya "Kutoa huduma za jamii" kusambaza dini yao, at a ZERO COST, maana pesa wanapewa na Serikali!. Pesa ya Umma!.Mou haina budi kuvunjwa, maana ni kinyume cha Katiba!- kwa maana Mou Haitoi fair ground kwa competitors wote katika sekta za elimu na Afya kunufaika na Kuwezeshwa kama wenzao wa Kanisa wanavyowezeshwa!.HATUKATAI KANISA KUFANYA BIASHARA ZA HUDUMA HIZI, TUNACHOSEMA NI KWAMBA, WAFANYE KWA MITAJI YAO, SISI RAIA TUNAOHITAJI HUDUMA TUTALIPIA HUDUMA HIZO!. NA SIYO KUJIFICHAFICHA NYUMA YA 'KUTOA HUDUMA' HUKU WAKICHUKUA PESA ZA UMMA KUENDESHEA MIRADI YAO BUREE!!!. SI WACHUKUE BASI JAPO MIKOPO?
 
Udini ni mambo ya kijinga sana ktk dunia ya leo; mimi nasema tena tusingoje vya bure kama mashoga,tuanze kuchngishana kujenga mashule; hatujachelewa; wivu na utoto hautatufikisha popote
 
Hakika umenena; waislamu tubadilike Ponda hana akili hana shule anafikiria kutumia .....;taja bakhresa hata dispensary hajengi ila kwenda hija anatoa pesa; huoni ujinga huu elimu dini mbele huduma za jamii hatutaki; tumekuwa wavivu sana tunaona vigumu kila kitu
Umesahau...KCMC- Kilimanjaro Christian Medical Centre na Heil Bugando University..Hizi ni hosp na vyuo.
 
INGEKUA VIPI KAMA ISINGEKUAPO NDANDA HOSP.NYANGAO HOSP,IFAKARA,PERAMIO,KITUO CHA AFYA MBAGALA(MBAGALA MISSION),BUGANDO HOSP.KCMC HOSP.....NA NYINGINEZO NISIZOFAHAMU,
AU INGEKUA VIPI VYOTE NILIVYOTAJA VINGEKUA VINAUDUMIA WAKRISTO TU,
ushauri wa bure ni kwamba,ukimuona jirani yako amevuna mahindi mengi shambani mwake jiulize utamzidi vipi mavuno hayo na si kwenda kwa mganga kutafuta dawa ya kumroga.
 
Ni akili mgando hizo.

*Kwani waislam wanakatazwa kuwa na 'MOU' na serikali.

*MOU haiko kwenye taasisi za kidini pekee na serikali, zipo taasisi nyingi za umma kama NHC, NSSF, NIC wana 'MOU' na taasisi binafsi ikiwemo miradi mbalimbali.

*Hivi unajua kuna miradi mingapi ya afya inayomilikiwa na kanisa, na faida yake kijamii? Wewe hukai kijijini na wala ukiugua hutibiwi kijijini, maana ungeyajua haya wala usingesema.

*Makanisa yalianzisha miradi hiyo kuhudumia jamii nzima pasipo kubagua mtu kwa misingi ya kidini.

tatizo la ndugu zetu hawa wana akili za kuazima,hospital hizo za mission hazimbagui mtu kutokana na dini yake,kama ni hivyo tatizo liko wapi?au ni wivu uwasumbua?na wao siwajenge za kwao halafu tuone kama serikali itakataa kuingia nao MoU,wafute kwanza ujinga ulio ktk vichwa vyao kisha waje tuijenge nchi yetu pamoja.
 
INGEKUA VIPI KAMA ISINGEKUAPO NDANDA HOSP.NYANGAO HOSP,IFAKARA,PERAMIO,KITUO CHA AFYA MBAGALA(MBAGALA MISSION),BUGANDO HOSP.KCMC HOSP.....NA NYINGINEZO NISIZOFAHAMU,
AU INGEKUA VIPI VYOTE NILIVYOTAJA VINGEKUA VINAUDUMIA WAKRISTO TU,
ushauri wa bure ni kwamba,ukimuona jirani yako amevuna mahindi mengi shambani mwake jiulize utamzidi vipi mavuno hayo na si kwenda kwa mganga kutafuta dawa ya kumroga.

tatizo lao lipo kwenye knowledge tu,ningewashauri jihad yao waielekeze ktk kufuta ujinga uliojaa vichwani mwao,kitu kimoja kizuri ni kuwa mjinga anafundishika
 
Leo nimepita sehemu na ndevu zangu; naskia Waislamu shida yetu hatuna elimu, hoja tunazotoa ni kama za watoto wa darasa la saba; mimi nimesoma Egypt; nimesoma mengi sana nakuja kuwapa mikakati ya kuweza kujenga mahospital na mashule; Gadaf kaja kujenga msikit mkamshangilia badala ya kujenga university; si upumbavu; misikit tunayo mingi;je hospital na shule?hawa wakristo wanachangishana hawapendi ubwabwa; Tumezid ubahiri, tunaonekana hatuna mawazo ya maana zaid ya kuonekana makuli

kaka unazungumza vyema,hujakuwa bounded na dini yako na ndivyo inavyotakiwa,matatizo ya waislamu ni more internal than external,hivyo ni vyema wakajitizama kwanza wao binafsi kabla ya kwenda kum-blame mtu mwingine for their own failures.
 
ndugu utaongea hapa mpaka kesho...cha kwanza la kufanya ni kuwapeleka hawa watu shule ili wajue nini kinachoendelea hapa kwenye nchi yao sio kupayuka tuu....si umesoma zile leaflet walizokua wanazisambaza misikitini eti moja ya sababu ya wao kuandamana hadi ikulu ni kwa kua rais JK alitembelea makanisa na sio misikiti...hivi kweli mtu na akili zake timamu ataambiwa kitu kama hichi na aamue kuacha familia yake akaandamane....

vichwani mwao tope tupu,pia nafikiri wanatumia vichwa vyao kufugia nywele na ndevu na sio kufikiri.
 
jamani tupeleke watoto wetu shule kwa manufaa yao ya baadaye. Ujinga ni bidhaa aghali mno jamani. ni heri ufe lofa kabisa lakini ufe ukiwa umeelimika....by the way wakati tunawakumbusha wale walio nyuma kielimu kugutuka na kukaza buti, tuwakumbushe pia ku-review mifumo yao ya maisha na kuangalia ni kwa jinsi gani wata-adjust mahusiano ya dini zao na ilmu dunia.

Kusoma ni aghali sana siku hizi. ili uweze kumudu lazima ufanye plans ikiwa ni pamoja na kuwa na idadi ndogo ya watoto ili uweze kumudu gharama. sasa kama wewe unajikusanyia ving'asti hadi dala na kuendelea, assuming kuwa kila king'ast akikutotolea dabo, ina maana una kumi halafu wamefuatana, ajira yako unayofanya ni jembe la mkono..haya utamudu?!! nyerere alisema ili tuendelee tunahitaji mambo manne: watu, ardhi siasa safi na uongozi bora. shule za kanisa zinafundisha kuwa ili wanafunzi wafanikiwe wanahitaji mambo mawili......KAZI na SALA.

Waislmu ndugu zanguni ili kufanikiwa sala peke yake hazitoshi japo ni muhimu pia (kutegemeana na imani yako). Salini sana jamani lakini msishau na KAZI. Na ninaposema KAZI ni pamoja na kazi ya kutafuta ILMU DUNIA. acheni perepende mingi, chacharkeni aisee, mbbllahh!! la sivyo hawa wakirisito mtawaskia kwenye bomba tena la maji machafu. wakti nyie mnapiga perepende ya mtoto aliyekojolea kitabu wakti akicheza na mwenzake, wenzenu wameshatua huko mars aisee, kweli papaangu nawaambia!!!!!........haya, mi ndo hifoo nimeshasema, mwenye maskio na askiiii.....askie kweliiii. mi ngoja nkatafute pesa aisee....

kuna mwenzao mmoja alisema "they use the whole day shouting to Allah and blame others for their multiple failures"
 
Back
Top Bottom