Mkuu usiwe mkali, mimi sijatumwa na yeyote. Ila kama GT ninaona umuhimu wa kuhoji. Hebu tazama hata wewe timing ya tukio na muda taarifa inapotokea. Hii si habari ndogo mkuu.
Hebu jibu maswali haya:
1. Mbona habari hii haijasikika sehemu nyingine yoyote.
2.Kwa nini umechelewa kuitoa habarii hii?
3.Kwa nini uwe mkali ktk hili?
Jamani habari za mtu wa karibu kaniambia kuna kanisa limechomwa uko Kigoma tujuzane zaidi kwa walio karibu
Jamani habari za mtu wa karibu kaniambia kuna kanisa limechomwa uko Kigoma tujuzane zaidi kwa walio karibu
ni kweli kuna kanisa moja limechomwa moto kigoma.Dhaifu yuko kwa sultan! mzaha mzaha utumbuka usaha!
kwa hiyo siyo matatu ni moja mkuu na ni maeneo gani na kanisa gani?
kina nani waliochoma na sababu za kuchoma ni nini?