Makanisa mawili yamechomwa Kigoma

NINACHOFAHAMU:
1-Nchi yetu(TZ) haina dini; Haiongozwi kwa misingi ya dini-point.
2-Kila mtanzania anaruhusa ya kuchagua kwa hiari yake dini anayoitaka.-point
3-Kila mtanzania anauhuru wa kueneza dini yake kwa wengine ilimradi tu asivuruge amani kwa kutumia nguvu, kwa kulazimisha wegine wajiunge na dini yake.-point
4-Kila dini ilioko hapa nchi ina haki sawa na dini nyingine; isiwepo dini ya kulazimisha kuwa ndiyo bora kuliko nyigine, bali katika sera zake iwaachie watu wachague wenyewe kwa hiari yao.-point
5-Siyo lazima kila Mtanzania awe na dini, bali akae katika misingi ya sheria za nchi hii, zilizo halali.-point
6-Kila Mtanzania kwa njia moja au zaidi amepokea dini ambazo siyo asili ya nchi hii.-point
7-Serikali inaowajibu wa kuhakikisha amani ya nchi yetu inadumu, la sivyo lazima iwajibishe na wananchi wastaarabu.-point
8-Tusikubali WAENDAWAZI ama kutoka nje ya nchi au ndani ya nchi kutumia dini kutuvurugia amani. Amani ni haki ya kila Mtanzania.-Point
8
 
Jamani habari za mtu wa karibu kaniambia kuna kanisa limechomwa uko Kigoma tujuzane zaidi kwa walio karibu

habari hizo hazina ukwel unless iwe vijijini au wilaya za nje nipo kigoma mjini na sijasikia kitu kama icho.naendelea na uchunguzi nikipata nanyi mmepata.
 
Back
Top Bottom