Sina pa kwenda
Senior Member
- Nov 18, 2010
- 113
- 15
Jamani habari za mtu wa karibu kaniambia kuna kanisa limechomwa uko Kigoma tujuzane zaidi kwa walio karibu
Makanisa mawili ya kipendekoste ya MMPT MITAA YA Bulonge na Masanga hapa mjini KIGOMA yamechomwa moto usiku wa kuamkia leo. Source, mimi mwenyewe
Kuwa serious hata kidogo basi. Source gani hii, nilidhani hii ni breaking news kumbe tukio lenyewe la jana usiku. Sasa ulikuwa wapi muda wote huo? Afadhali ungesema tukio limetokea kijijini, kumbe hapo mjini. Wale wale! Uongo mwingine bwana, hata ukipakwa rangi haukolei.
Makanisa yachomwe jana usiku,taarifa utuletee saa 3 hii? Basi sio Breaking News!!
unadhani ni rahisi kukanusha ukweli?, umetumwa kuendeleza kuficha ukweli?!, time will tell.
Makanisa mawili ya kipendekoste ya MMPT MITAA YA Bulonge na Masanga hapa mjini KIGOMA yamechomwa moto usiku wa kuamkia leo. Source, mimi mwenyewe