ugolo wa bibi
JF-Expert Member
- Jul 16, 2012
- 1,305
- 302
Unafikili chanzo ni mkojo! hawa wana yao! sasa wamekuta wakristu wanamwabudu MUNGU WA ISAKA NA YAKOBO! hivyo yeye ndio atatulipia!
ishakua fashion sasa
mnayachoma wenyewe kisha mnawasingizia waislam
mungu atawahukum
wakuu ni kweli, nimemwuliza jamaa yuko kigoma, kathibitisha suala hilo. hivi waislam wanalingia nini? Kwa kuwa rais ni mwislam? kwa kuwa makamu wa rais ni mwislam? kwa kuwa wateule wengi wa jk ni waislam? kwa kuwa makanda wengi ni waislam?
Makanisa yaliyochomwa ni ya Mkongoro Pentecoste na Kahabwa
kazi ya shetani hiyo!!
Na wafu asi wake wanaoabudu kitu wasichokuwa na uhakika nacho ndiyo wanajidifendi kwa ujinga....
lakini sasa viongozi wa kikristo pia waache ukimwa wafanye jambo la kuibana serikali..kwamba haifanyi kazi yake sawasawa ndiyo maana yanatokea haya waamuru kuisusia, na htua zingine kali!!
Mkuu usiwe mkali, mimi sijatumwa na yeyote. Ila kama GT ninaona umuhimu wa kuhoji. Hebu tazama hata wewe timing ya tukio na muda taarifa inapotokea. Hii si habari ndogo mkuu.
Hebu jibu maswali haya:
1. Mbona habari hii haijasikika sehemu nyingine yoyote.
2.Kwa nini umechelewa kuitoa habarii hii?
3.Kwa nini uwe mkali ktk hili?
hakuna maandiko yanayoruhusu wazo hilo, labda nje ya ukristo mkuu
Kuwa serious hata kidogo basi. Source gani hii, nilidhani hii ni breaking news kumbe tukio lenyewe la jana usiku. Sasa ulikuwa wapi muda wote huo? Afadhali ungesema tukio limetokea kijijini, kumbe hapo mjini. Wale wale! Uongo mwingine bwana, hata ukipakwa rangi haukolei.
''iweni wapole kama hua lakini werevu kama nyoka!!''
tunaishi nao kwa akili kwa kuwa hawapo kumsifu mungu, bali wapo kumthibitisha mungu kupitia wakristo. Iwapo wakristo tukishindwa kuishi nao kwa akili, tukaanza kushindana nao, shetani atatngazwa mshindi