KAYAMASKINI
Member
- Oct 29, 2016
- 50
- 21
Hao watakuwa majasusi na ingekuwa nnchi kiarabu wachezea majambia mchana kweupe...
Mkuu acha kututusiHivi mbona Tanzania ina Waburundi, Wakongo, Wamalawi na Wasomali wengi tena wanafanya mambo mengi mabaya katika Jamii zetu hizi lakini hamuwaandami kama mnavyowaandama Wanyarwanda? Hivi Wanyarwanda tumewakoseeni nini nyie Watanzania? Kuna ambacho tumewalia labda tujichangishe tuwalipeni? Hivi mnajua kama hata huu ' ustawi ' wenu mlionao na mnaojivunia nao sasa hata Raia wa Rwanda wameshiriki katika kuuchangia na kufanya uwepo hadi leo hii? au ni hii IQ yetu kubwa na moyo wetu wa Ujasiri na Kujituma ndiyo unawateseni Watanzania?
Jidanganye tz imeamka sio ile ya kipindi kilichopita mkajidai wajanjaHivi mbona Tanzania ina Waburundi, Wakongo, Wamalawi na Wasomali wengi tena wanafanya mambo mengi mabaya katika Jamii zetu hizi lakini hamuwaandami kama mnavyowaandama Wanyarwanda? Hivi Wanyarwanda tumewakoseeni nini nyie Watanzania? Kuna ambacho tumewalia labda tujichangishe tuwalipeni? Hivi mnajua kama hata huu ' ustawi ' wenu mlionao na mnaojivunia nao sasa hata Raia wa Rwanda wameshiriki katika kuuchangia na kufanya uwepo hadi leo hii? au ni hii IQ yetu kubwa na moyo wetu wa Ujasiri na Kujituma ndiyo unawateseni Watanzania?
hao wataomba ukimbizi sasa hivi maana wakirudi huko kwao wanalo wataitwa natinal interest traitorsZitapigwa simu juu kwa juu watajirudia nyumbani tu hao. Jiulize kwann waandishi wanazuiwa. Mbona wahabeshi wale wakikamatwa hata kama ni usiku kila kitu kinangoja asubuhi kukuche waaitwe waandishi wa habari itangazwe nchi nzima
Lina maana kwamba idara yetu ya usalama inafanya kazi yakebvizuriLeo katika Mahakama ya Kisutu, kuna makanali watatu wa Jeshi la Rwanda wamefikishwa mahakamani, watu hawa wanadaiwa kuingia nchini kinyemela kwa kazi maalum.
Cha ajabu wanasheria wa Serikali walukuwa wakizuia waandishi wasiruhusiwe kuandika eti sababu ya mahusiano yetu na Rwanda.
Hata hivyo waandishi wachache wamefanikiwa kupata hati ya Mashtaka inaonyesha jamaa wanashtakiwa kuingia nchini kinyume cha sheria, kughushi vyeti vya kuzaliwa ambavyo vimewaonyesha wamezaliwa Amani kumbe wako kazini.
Jambo hili linamaana gani kwa usalama wa nchi yetu?
shut the https://jamii.app/JFUserGuide up we mtu ,Hivi mbona Tanzania ina Waburundi, Wakongo, Wamalawi na Wasomali wengi tena wanafanya mambo mengi mabaya katika Jamii zetu hizi lakini hamuwaandami kama mnavyowaandama Wanyarwanda? Hivi Wanyarwanda tumewakoseeni nini nyie Watanzania? Kuna ambacho tumewalia labda tujichangishe tuwalipeni? Hivi mnajua kama hata huu ' ustawi ' wenu mlionao na mnaojivunia nao sasa hata Raia wa Rwanda wameshiriki katika kuuchangia na kufanya uwepo hadi leo hii? au ni hii IQ yetu kubwa na moyo wetu wa Ujasiri na Kujituma ndiyo unawateseni Watanzania?
Hivi mbona Tanzania ina Waburundi, Wakongo, Wamalawi na Wasomali wengi tena wanafanya mambo mengi mabaya katika Jamii zetu hizi lakini hamuwaandami kama mnavyowaandama Wanyarwanda? Hivi Wanyarwanda tumewakoseeni nini nyie Watanzania? Kuna ambacho tumewalia labda tujichangishe tuwalipeni? Hivi mnajua kama hata huu ' ustawi ' wenu mlionao na mnaojivunia nao sasa hata Raia wa Rwanda wameshiriki katika kuuchangia na kufanya uwepo hadi leo hii? au ni hii IQ yetu kubwa na moyo wetu wa Ujasiri na Kujituma ndiyo unawateseni Watanzania?
Kusema Pohamba kama hampendi JK, HAPANA; humtendei haki! Simfahamu hanifahamu lakini ki-JF JF, namfahamu sana! Hana chuki hata 0% dhidi ya JK. Hapa huenda alipotoka tu au kughafirika na yote hayo ni ada ya mwanadamu!Hata kama humpendi former pzd mpe heshma yake kama binadamu mwingine.
EXACTLY!! Aliwaachia sana hawa jamaa! Walipoingia madarakani akina Mkapa na JK ikawa wameshajichimbia mizizi na kuwa kuwa ngumu kuwa-identify! Thanks to asili yao ya ku-adopt Family African names lakini kama wangekuwa wanatumia John Michael, Martin Josephat and the like; KAMWE tusingewabaini!Ndiyo maana kukaja na tetesi kuwa Nyerere ni mtusi.
Cha maana kilichopo Rwanda ni kipi?! Watanzania na ufisadi wao wote wa kupenda vitu vya nje; sijawahi kusikia wakipeleka watoto shule/vyuo Rwanda, cjawahi kusikia wakienda kutibiwa Rwanda, cjawahi kuckia wakienda kufanya shopping Rwanda!!Wana wivu na Rwanda kutwa kuisema wanaona Rwanda yasonga mbele kwa kasi kubwa Air rwanda inapasua anga kila uchao wao wana nchi kuubwa na kila kitu lakini maisha yao ya hohe hahe. Proudly Rwandese
Hivi mbona Tanzania ina Waburundi, Wakongo, Wamalawi na Wasomali wengi tena wanafanya mambo mengi mabaya katika Jamii zetu hizi lakini hamuwaandami kama mnavyowaandama Wanyarwanda? Hivi Wanyarwanda tumewakoseeni nini nyie Watanzania? Kuna ambacho tumewalia labda tujichangishe tuwalipeni? Hivi mnajua kama hata huu ' ustawi ' wenu mlionao na mnaojivunia nao sasa hata Raia wa Rwanda wameshiriki katika kuuchangia na kufanya uwepo hadi leo hii? au ni hii IQ yetu kubwa na moyo wetu wa Ujasiri na Kujituma ndiyo unawateseni Watanzania?