Makanali watatu wa Jeshi la Rwanda wakamatwa Dar, Wafikishwa Kisutu

Hivi mbona Tanzania ina Waburundi, Wakongo, Wamalawi na Wasomali wengi tena wanafanya mambo mengi mabaya katika Jamii zetu hizi lakini hamuwaandami kama mnavyowaandama Wanyarwanda? Hivi Wanyarwanda tumewakoseeni nini nyie Watanzania? Kuna ambacho tumewalia labda tujichangishe tuwalipeni? Hivi mnajua kama hata huu ' ustawi ' wenu mlionao na mnaojivunia nao sasa hata Raia wa Rwanda wameshiriki katika kuuchangia na kufanya uwepo hadi leo hii? au ni hii IQ yetu kubwa na moyo wetu wa Ujasiri na Kujituma ndiyo unawateseni Watanzania?
Unafahamu mwanajeshi akitaka kuingia nchi ya ugenini/Nchi jirani anatakiwa afanye nini kisheria? Ukipata jibu urudi ku comment tena!
 
Hivi hii kesi imeishia wapi wakuu maana nishasahau kabisa.

Mambo yanaingiliana mara Dr Shika, mara Bashite sijui Lulu wa Kanumba mpaka tunasahau wengine
Na ndio lengo Hilo. Yaani Dr Shika leo kashuka Kahama, tayari nayo ni habari!
 
Upuuzi mtupu kwa nini jitihada zenu zisijenge kwenu nyie wabaguzi mnagombana kila kukicha. MNA nini nyie mmejaa ukabila.kila Siku mnafikiria nani awe kiongozi wa nchi kati ya mtusi na mhutu. Kama kweli wewe myarwanda nimechukizwa na comment yako.
Muulize juu ya sheria zinazohusu Wanajeshi pindi wanaposafir kuingia nchi nyingine, Soldier na sio Civilian......sheria zipo wazi sana, lazima uwe na kibali maalum otherwise tutakukamata tuu, maana utakuwa una spy, or tunaweza kuzuia uharibifu wako unaouendeleza kwa namna yyte ile.
 
Jamani kuna tension kubwa EAC kati ya Rwanda na Uganda, Yoweri anasema Kagame anampango wa kumwondoa, vile vile Kagame naye anadai the same.

RWANDA-UGANDA COLD WAR: KAGAME SUMMONS SECURITY CHIEFS, URUGWIRO MEETING DETAILS ON MUSEVENI LEAK
Posted by Placide Kayitare | Nov 6, 2017

Rwandan president Gen Paul Kagame has held a security meeting with his trusted security chiefs as the relations between Kampala and Kigali continue to become frosty.

According to our highly placed military source from Urugwiro, the meeting which took place on Saturday moments after Kagame had returned from Africa Global Business Forum in Dubai was attended by Fred Ibingira the head of Rwanda’s Reserve Force, Joseph Nzabamwita the head of Rwanda National Intelligence and Security Services (NISS) James Kabarebe the minister of defense and Francis Mutiganda the head of Rwanda External Security Organization (ESO).

This military source told this website that the purpose of the meeting was to discuss plan B after Ugandan government embarked on a crackdown and arrest of Rwandan spies operating in Uganda and police officers suspected to have been spying for Kigali.

Recently, the chieftaincy of Military Intelligence (CMI) arrested several police officers and a Rwandan former government soldier Rene Rutagungira accused of kidnap and illegal repatriation of former member of Kagame’s body guard Lt Joel Mutabazi who had sought refugee in Kampala and is currently serving life imprisonment in Kigali.

Kigali since last week responded by firing all Ugandan employees working in key positions in Kigali without giving explanations. Their employers were instructed to replace them with qualified Burundian refugees and other Rwandese.

A source also told us that Kagame is not happy with his former Luwero bush war comrade and boss Gen Yoweri Museveni and has promised to deal with Kampala decisively.

It is reported that during Saturday meeting, the discussed measures on how to revenge to Kampala actions including supporting the possible uprising in case the ruling regime in Kampala forcefully changes the constitution to enable president Museveni to re-run for presidency in 2021.

“Kigali is waiting until change is made because president Kagame believes that changing constitution is done deal. He wants to support in flaming the fire that will rise after constitutional change.”

“Kigali is praying for Museveni to change the constitution and use the ant Museveni sentiment to disorganize Uganda and cause Museveni to relinquish power”. A source said.

It is also indicated the meeting also accepted to fund one of Uganda’s key opposition figures and cause civil unrest in Ugandan until the regime falls.

“In the weekend meeting this was also another plan they had but they fear to approach Dr Besigye because they betrayed him in the past. They promised him a lot and gave him nothing in the past and Gen Muntu totally refused to work with them to betray Uganda.”

The source also noted that Kigali is also waiting on the Gen Kale Kayihura’s fate after the arrest of his top aides in police.

There have been reports that Kigali is clandestinely supporting Gen Kayihura to replace president Museveni for president a move Kigali recently denied.
 
Kwanini iwe Siri kwa Waharifu, nlishangaa sana. Halafu kwanini kesi ifanyikie Mahakama za Watoto? Mharifu ni mharifu tu. Wawekwe hadharani tuwapige picha kama tulivyofanya kwa Manji, wazee wa ESROW Lissu na wengine wengi. Wachuchumae pale wapigwe picha ziende hadi Rwanda. Kwanini Mahakama zinakubali kufanya Upendeleo huu?
View attachment 636488
Mmiliki wa VIP Engineering and Marketing, James Rugemalila(mwenye Mvi), na Mmiliki wa Kampuni ya IPTL Harbinder Singh Sethi(aliyevaa kilemba) wakiwa Mahakamani Kisutu Dar es Salaam mwezi jun 2017
Hizi double standard hazitatuacha salama haki ya nane
 
Waliingia kipindi kileee Nchi inashikwa na Mbwa Mtembea Hovyo Kama anavyojiita mwenyewe?
Amekuwa mbwa mtembea ovyo mara hii?!, tatizo lenu baadhi yetu huwa mnatumia matumbo kufikiri badala ya vichwa, Mnalazimika hadi kuwatukana ambao mlifunga hadi kamba za viatu vya watoto wao, ili tu kujipendekeza kwa waliopo saa hizi.
 
Hivi mbona Tanzania ina Waburundi, Wakongo, Wamalawi na Wasomali wengi tena wanafanya mambo mengi mabaya katika Jamii zetu hizi lakini hamuwaandami kama mnavyowaandama Wanyarwanda? Hivi Wanyarwanda tumewakoseeni nini nyie Watanzania? Kuna ambacho tumewalia labda tujichangishe tuwalipeni? Hivi mnajua kama hata huu ' ustawi ' wenu mlionao na mnaojivunia nao sasa hata Raia wa Rwanda wameshiriki katika kuuchangia na kufanya uwepo hadi leo hii? au ni hii IQ yetu kubwa na moyo wetu wa Ujasiri na Kujituma ndiyo unawateseni Watanzania?
Hizo bangi hazikufai eti IQ kubwa hahahahaa give me a break! Tunashukuru watanzania tumegutuka tuliwakaribisha nchi kama jirani tukawapa elimu miaka ya 60, mlipokuwa mnauwana tukafungua milango ili msimalizane then kumbe tumefuga nyoka..Ile kampeni aliyoianzisha kikwete itaendelea
 
Mbona wa mda mrefu nilijua wameshashughulikiwa, lakini Je maspy hupelekwa mahakamani au kuna namna humalizana? Hapo hakuna kesi.
 
Muulize juu ya sheria zinazohusu Wanajeshi pindi wanaposafir kuingia nchi nyingine, Soldier na sio Civilian......sheria zipo wazi sana, lazima uwe na kibali maalum otherwise tutakukamata tuu, maana utakuwa una spy, or tunaweza kuzuia uharibifu wako unaouendeleza kwa namna yyte ile.
Mkuu humu wengi hawaelewi hayo wao wamekaa kimahaba zaidi
 
Back
Top Bottom