Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,247
Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar , Othman Masoud , ambaye pia aliwahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar , amenukuliwa akieleza kwamba , kwa sasa Zanzibar hakuna amani , bali kuna Ukimya tu .
ZANZIBAR HAKUNA AMANI, KUNA UKIMYA
"Kilichopo sasa Zanzibar ni kimya; na si amani; kwa sababu kila mtu ana wasiwasi—na mtu anapokuwa na wasiwasi ukisema ana amani sio kweli."
ZANZIBAR HAKUNA AMANI, KUNA UKIMYA
"Kilichopo sasa Zanzibar ni kimya; na si amani; kwa sababu kila mtu ana wasiwasi—na mtu anapokuwa na wasiwasi ukisema ana amani sio kweli."