johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo na makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar mh Othman Masoud amesema tatizo la Tanzania siyo Fundi Mkuu (Rais) bali tatizo ni Mkandarasi ( CCM) Ndio ameshindwa Kazi
Masoud amewataka watanzania kuipa Kandarasi ya Uongozi ACT Wazalendo Watu wa KAZI
Credit: The Chanzo
Masoud amewataka watanzania kuipa Kandarasi ya Uongozi ACT Wazalendo Watu wa KAZI
Credit: The Chanzo