Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar - Public interest, wadau wa maendeleo, mukutano ya ndani ..

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,305
24,197
03 September 2021




Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mh. Othman Masoud, ofisi ya DPP lazima iwe inachunguzwa kama wenzetu huko Uingereza Ofisi ya Crown Prosecution yaani DPP huchunguzwa inavyofanya kazi

Umuhimu wa katiba Mpya upo. Kasoro za kikatiba zipo katika nyaraka za kikatiba inavyofahamika kama Tume ya Warioba. Katiba mpya iliyopendekezwa na Tume ya Warioba ilionesha wananchi waliona katiba iliyopo ina matatizo.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar anaongeza tunadhani kunaweza kuishi kwa kutumia mambo ya kizamani au kanuni za dunia iliyopita na serikali ya CCM kukataa suala la Katiba Mpya.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar azungumzia kinga ya viongozi kutoshitakiwa, viongozi wakumbuke kinga hiyo haikuzuii kushitakiwa nje. Bora kiongozi ushtakiwe halafu usamehewe badala ya kujiwekea kinga.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar atoa ushauri kuhusu upande mmoja wa Tanzania mikutano ya ndani kuzuiwa huku Zanzibar mikutano ya ndani ya vyama vya siasa Zanzibar inaruhusiwa.

Makamu wa Kwanza wa Rais Mh. Othman Masoud anakumbushia Nchi hii ina Wa(M)sajili wengi mfano msajili wa makampuni anachangia mchango mkubwa katika uchumi wa nchi kuliko msajili wa vyama vya siasa ambaye amepewa madaraka makubwa lakini hana mchango wowote kiuchumi lakini anauwezo wa kutoa kauli ikapelekea serikali ya nchi kupinduliwa kwa kusema Rais siyo mwanachama halali wa chama cha siasa . Msajili wa Vyama vya Ushirika, Msajili wa Makampuni, Msajili wa Vyama vya Siasa n.k

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar maoni yake kuhusu Mkutano wa Msajili na IGP kuhusu mikutano ya ndani ya Vyama vya kisiasa hauna afya kisiasa.
N.k

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar maoni yake ni kuwa Ma IGP waliopita kama Saidi Mwema na DCI Adadi walianzisha mageuzi ndani ya jeshi Polisi mazuri, lakini kwa sasa jeshi la Polisi limerudi nyuma katika kufanya mabadiliko yalitokuwa yameanza kwa jeshi la Polisi kujiondoa katika kutumika kisiasa.

Jeshi la Polisi linatakiwa kuelekea katika kazi za msingi yaani kupambana na uhalifu badala ya kuhangaika na vyama mikutano ya ndani ya vyama vya kisiasa.

Source : mubashara studio
Video Courtesy of StarTV Habari
Wasifu wa Mh. Othman Masoud Othman Sharif, Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar

  • Mwanafunzi bora Chuo Kikuu ktk mwaka wa darasa lake UDSM
  • Ajiunga kazi Wizara ya katiba
  • Kwenda Uingereza na Italy kwa mafunzo zaidi
  • Mbobezi wa taaluma ya sheria LLB (UDSM) LLM (London) LLM (University of Turin Italy)
  • Member : Network of African Constitutional Lawyers for 1 year and 9 months othman | ANCL site
  • Katibu Mkuu wizara
  • Mkurugezi wa Mashtaka - DPP Office, Zanzibar
  • Mwanasheria Mkuu wa Serikali - AG Zanzibar
  • Kutimuliwa mwaka 2014 toka utumishi wa serikalini wakati wa serikali ya Dr. Ali Mohamed Shein
  • ACT-Wazalendo chama kikuu cha upinzani Zanzibar chapendekeza jina lake kwa Mh. Rais Hussein Ali Hassan Mwinyi ili ateuliwe kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar
  • Ateuliwa kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais (mteule) Zanzibar ktk serikali ya Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi. Sasa mara baada ya kuapisha kesho tarehe 2 March 2021 atakuwa mshauri mkuu wa Rais wa SMZ ili Rais atimize majukumu yake kama yalivyo matumaini ya waZanzibari na WaTanzania wengi wanaotaka mfumo bora wa maridhiano kuwa msingi mkubwa ktk uongozi na utawala.
  • 02 March 2021 aapishwa kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar na Mjumbe wa Baraza la Mapinduzi
 
Jamaa watajuta kumfahamu kwanza alishataka ugali umwagike ni vile tu watu wanaogopa vimisaada kuisha maana zanzibar nao umasikinmi mkubwa sana ni vile wanabebwa tu na bara
 
03 September 2021




Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mh. Othman Masoud, ofisi ya DPP lazima iwe inachunguzwa kama wenzetu huko Uingereza Ofisi ya Crown Prosecution yaani DPP huchunguzwa inavyofanya kazi

Umuhimu wa katiba Mpya upo. Kasoro za kikatiba zipo katika nyaraka za kikatiba inavyofahamika kama Tume ya Warioba. Katiba mpya iliyopendekezwa na Tume ya Warioba ilionesha wananchi waliona katiba iliyopo ina matatizo.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar anaongeza tunadhani kunaweza kuishi kwa kutumia mambo ya kizamani au kanuni za dunia iliyopita na serikali ya CCM kukataa suala la Katiba Mpya.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar azungumzia kinga ya viongozi kutoshitakiwa, viongozi wakumbuke kinga hiyo haikuzuii kushitakiwa nje. Bora kiongozi ushtakiwe halafu usamehewe badala ya kujiwekea kinga.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar atoa ushauri kuhusu upande mmoja wa Tanzania mikutano ya ndani kuzuiwa huku Zanzibar mikutano ya ndani ya vyama vya siasa Zanzibar inaruhusiwa.

Makamu wa Kwanza wa Rais Mh. Othman Masoud anakumbushia Nchi hii ina Wa(M)sajili wengi mfano msajili wa makampuni anachangia mchango mkubwa katika uchumi wa nchi kuliko msajili wa vyama vya siasa ambaye amepewa madaraka makubwa lakini hana mchango wowote kiuchumi lakini anauwezo wa kutoa kauli ikapelekea serikali ya nchi kupinduliwa kwa kusema Rais siyo mwanachama halali wa chama cha siasa . Msajili wa Vyama vya Ushirika, Msajili wa Makampuni, Msajili wa Vyama vya Siasa n.k

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar maoni yake kuhusu Mkutano wa Msajili na IGP kuhusu mikutano ya ndani ya Vyama vya kisiasa hauna afya kisiasa.
N.k

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar maoni yake ni kuwa Ma IGP waliopita kama Saidi Mwema na DCI Adadi walianzisha mageuzi ndani ya jeshi Polisi mazuri, lakini kwa sasa jeshi la Polisi limerudi nyuma katika kufanya mabadiliko yalitokuwa yameanza kwa jeshi la Polisi kujiondoa katika kutumika kisiasa.

Jeshi la Polisi linatakiwa kuelekea katika kazi za msingi yaani kupambana na uhalifu badala ya kuhangaika na vyama mikutano ya ndani ya vyama vya kisiasa.

Source : mubashara studio
Video Courtesy of StarTV Habari

Mwanasheria asiyehendekeza Njaa utamjua tu.

Hongera sana Mh Makamu wa Rais.

Mtoto wa Mwinyi atanuna kwa kauli hizi za ukweli
 
Jamaa watajuta kumfahamu kwanza alishataka ugali umwagike ni vile tu watu wanaogopa vimisaada kuisha maana zanzibar nao umasikinmi mkubwa sana ni vile wanabebwa tu na bara
Zanzibar hakuna umaskini kuna rushwa na ubadhilifu uliokithiri na hutokaa usikie tetesi za ufisadi mahali popote.
 
03 September 2021




Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mh. Othman Masoud, ofisi ya DPP lazima iwe inachunguzwa kama wenzetu huko Uingereza Ofisi ya Crown Prosecution yaani DPP huchunguzwa inavyofanya kazi

Umuhimu wa katiba Mpya upo. Kasoro za kikatiba zipo katika nyaraka za kikatiba inavyofahamika kama Tume ya Warioba. Katiba mpya iliyopendekezwa na Tume ya Warioba ilionesha wananchi waliona katiba iliyopo ina matatizo.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar anaongeza tunadhani kunaweza kuishi kwa kutumia mambo ya kizamani au kanuni za dunia iliyopita na serikali ya CCM kukataa suala la Katiba Mpya.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar azungumzia kinga ya viongozi kutoshitakiwa, viongozi wakumbuke kinga hiyo haikuzuii kushitakiwa nje. Bora kiongozi ushtakiwe halafu usamehewe badala ya kujiwekea kinga.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar atoa ushauri kuhusu upande mmoja wa Tanzania mikutano ya ndani kuzuiwa huku Zanzibar mikutano ya ndani ya vyama vya siasa Zanzibar inaruhusiwa.

Makamu wa Kwanza wa Rais Mh. Othman Masoud anakumbushia Nchi hii ina Wa(M)sajili wengi mfano msajili wa makampuni anachangia mchango mkubwa katika uchumi wa nchi kuliko msajili wa vyama vya siasa ambaye amepewa madaraka makubwa lakini hana mchango wowote kiuchumi lakini anauwezo wa kutoa kauli ikapelekea serikali ya nchi kupinduliwa kwa kusema Rais siyo mwanachama halali wa chama cha siasa . Msajili wa Vyama vya Ushirika, Msajili wa Makampuni, Msajili wa Vyama vya Siasa n.k

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar maoni yake kuhusu Mkutano wa Msajili na IGP kuhusu mikutano ya ndani ya Vyama vya kisiasa hauna afya kisiasa.
N.k

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar maoni yake ni kuwa Ma IGP waliopita kama Saidi Mwema na DCI Adadi walianzisha mageuzi ndani ya jeshi Polisi mazuri, lakini kwa sasa jeshi la Polisi limerudi nyuma katika kufanya mabadiliko yalitokuwa yameanza kwa jeshi la Polisi kujiondoa katika kutumika kisiasa.

Jeshi la Polisi linatakiwa kuelekea katika kazi za msingi yaani kupambana na uhalifu badala ya kuhangaika na vyama mikutano ya ndani ya vyama vya kisiasa.

Source : mubashara studio
Video Courtesy of StarTV Habari

Rais Samia anajua jama Msajili wa Vyama anaweza kumpindua?? Au anadhani waathirika ni wapinzani tu?
 
Naunga mkono hoja. Wakati mwingine uluwa huwa unalevya. Waache wajisahau, wataona baadae. Kwa kawaida mbuyu unaanza kama mchicha.
 
Samia aache kuvaa sare za ACT wazalendo japo ni Raisi wa vyama vyote.
1633345581095.png
1633345622854.png
1633345648551.png
1633345676767.png

CCM oyee !
 
Sema zinamkaa vizuri sana kuliko ile langi ya kijani inamzeesha tu,ona hiyo ya ACT kichuna kabisa.

1633345843680.png
Inamtoa kuonekana kizere.
 
Mawazo na fikra huru toka kwa kiongozi wa juu, hakika anastahili pongezi Makamu wa Kwanza wa Rais serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mh. Othman Masoud kwa kujibu na kuelezea hali halisi ya kisiasa na uongozi ilivyo nchini mwetu Tanzania.
 
Naunga mkono hoja. Wakati mwingine uluwa huwa unalevya. Waache wajisahau, wataona baadae. Kwa kawaida mbuyu unaanza kama mchicha.

Kabisa wanasahau msajili na jeshi la Polisi kutumika kisiasa ni jambo la kizamani

Toka maktaba:

4 October 2021
CHADEMA WAWAKA VIKALI JUU YA KAMATA KAMATA YA WAFUASI WAKE, POLISI SASA WAJISAJILI KUWA CHAMA CHA SIASA



Source : mubashara studio
 
Back
Top Bottom