TANZIA Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad afariki dunia

Maalimu ni Mwamba Sisi Tuliobahatika angalau kuishi katika muda ambao alikuepo Tumshukuru Mungu kwa mtu huyu mhimu kabisa...Watu Kama Maalimu Hawazaliwi kila mara na kila wakati....Ni ngumu sana Kumpata mtu kama yule katika Kizazi hiki....
 
RAISI AJAYE , hii si inaendane na mada ya yoga?

Kumbe yoga inawezekana anaandika vitu serious na siyo stori ya kujifurahisha.
Mkuu hakuna story pale !!pale ni ujasusi wa kufa mtu!!!hitimisho la yoga limefanywa na Tumia akili kwamba old CEO anastaafishwa rasmi Ili wa mshughulikie new CEO ang'atuke na FDR achukue mikoba kwa miaka 12 ijayo!!hata magamba matatu alikomenti kuwa LAZIMA awe muislamu na atamtaja kabla ya mwaka 2013 akimaanisha 2023!AMBAYO inaendana na last digit ya Tumia akili kwenye uzi wa mwanzoni wa Mwaka huu January 20 wa FDR na miaka 12 ya utawala wake!!!sasa hatujui!!Dalili naziona NASIKIA jwtz MWEZI wa pili huu hawajalipwa posho ZAO kwa mujibu wa yoga!!pia Mzee wa meno ya tembo atatumika Sana na the state KULIKO na old CEO !!mirija ya mawasiliano ya old CEO kwenda kwa new CEO inakatwa Ili state Ndio awe mtendaji MKUU kupitia mzee wa meno ya tembo!!!!Tusubiri MKUU!!!
 
Maalimu ni Mwamba Sisi Tuliobahatika angalau kuishi katika muda ambao alikuepo Tumshukuru Mungu kwa mtu huyu mhimu kabisa...Watu Kama Maalimu Hawazaliwi kila mara na kila wakati....Ni ngumu sana Kumpata mtu kama yule katika Kizazi hiki....
Japo alitafunwa na dhambi ya usaliti kwa Abdul jumbe Ndio màana the state walimgomea kumtangaza mshindi hata kama alishinda kule visiwani tena mara nyingi Sana!!!Usaliti ni dhambi MBAYA Sana!!
 
Ficha ujinga wako mkuu
Unafikiri UONGO!!?huo NDIO UKWELI!!kuna watu ndani ya State waliapa kabisa kuwa yule jamaa hatopewa ushindi hata iweje!!kitendo kile cha Abdu jumbe kulazimishwa kujiuzulu na kuwekwa kizuizini Maisha yake yote kiliwauma Sana HAO jamaa!!! source humu jf!!
 
Mkuu hakuna story pale !!pale ni ujasusi wa kufa mtu!!!hitimisho la yoga limefanywa na Tumia akili kwamba old CEO anastaafishwa rasmi Ili wa mshughulikie new CEO ang'atuke na FDR achukue mikoba kwa miaka 12 ijayo!!hata magamba matatu alikomenti kuwa LAZIMA awe muislamu na atamtaja kabla ya mwaka 2013 akimaanisha 2023!AMBAYO inaendana na last digit ya Tumia akili kwenye uzi wa mwanzoni wa Mwaka huu January 20 wa FDR na miaka 12 ya utawala wake!!!sasa hatujui!!Dalili naziona NASIKIA jwtz MWEZI wa pili huu hawajalipwa posho ZAO kwa mujibu wa yoga!!pia Mzee wa meno ya tembo atatumika Sana na the state KULIKO na old CEO !!mirija ya mawasiliano ya old CEO kwenda kwa new CEO inakatwa Ili state Ndio awe mtendaji MKUU kupitia mzee wa meno ya tembo!!!!Tusubiri MKUU!!!

ukishaanza kusema "nasikia" tayari inakuwa habari ya kuungaunga, sasa hilo nalo nilakusikia kama kweli uko dip?... Huyo old CEO unayemsema kila mara umri wake tayari ni 70's Mungu amemjalia mwili nzuri, hana cha kupoteza....

Chukua hii, hao the state unaowasifia wangekuwa smart basi mapema sana wangeng'amua draft la huyo Old CEO, inaonekana kwa muktadha huo huyo Old CEO ana akili nyingi kuliko hao the state au naye ni sehemu ya ze so called the state, maana alimuinstall CEO aliyelala ili kummaliza swaiba wake huku akiwapoteza maboya Lupaso na wenzake na kumuwekea "CEO aliyelala" deputy CEO wake pamoja na Mzee wa Namungo ambao the state wangekuwa na akili kama sio lao moja na Old CEO wangeshang'amua hili..
Haitoshi Old CEO huyo huyo tena amesimamia changez pale Lumumba na kumleta Alshabab kwenye kiti (swaiba wake kitambo) bado eti unasema kuna ze so called state kama state yenyewe sio huyo Old CEO...... Draft yake ina kete nyingi sana ndio shida ilipo, hata marehemu kila alipogusa alikutana na kete yake tena King.....fuatilia mabadiriko ya taasisi kama kweli uko dip na hapo ndio utaelewa mpaka bosi wa sasa ni nani wa nani....hata yule balozi mchungaji....


Nenda dip kwenye historia ya huyo old CEO toka enzi za Mchonga halafu rudi kwenye tukio la Dom 95 na 2005, halafu rejea 2015, rudi kwa maswahibu ya mamvi alipojaribu kilichomkuta, rejea tena kwa marehemu naye alipojaribu mambo yake kilichomkuta....huyo old CEO sio fala kama unavyifikiri tena anaweza kuwa sehemu ya hiyo unayouta state na inaonekana ni mtiifu kweli maana kwa maswahibu yote aliyopitia tungeshamsahau....
 
Old CEO ni mtiifu KWA the State na Hata MWENYEWE anajua kuwa the state hawana rafiki wala adui wa kudumu!!Advantage ya old CEO ni jasusi by nature tena aliefuzu pale kijitonyama enzi hizo!!hapo katumika kukamilisha mission Sasa nadhani muda utafika atahitajika astaafu RASMI na atastaafishwa!!Lazima FDR aingie KWA vyovyote vile hata kama atakua ni mzee wa meno ya tembo sawa tu ndio maamuzi yao!!!Utambue the state haina rafiki wala adui wa kudumu na wakishakutumia Sana Baadae ukahatarisha usalama wa nchi na Taifa KWA ujumla Wana ku eliminate tu!!!state ni complex organisation muonavyo mimi!!!
ukishaanza kusema "nasikia" tayari inakuwa habari ya kuungaunga, sasa hilo nalo nilakusikia kama kweli uko dip?... Huyo old CEO unayemsema kila mara umri wake tayari ni 70's Mungu amemjalia mwili nzuri, hana cha kupoteza....

Chukua hii, hao the state unaowasifia wangekuwa smart basi mapema sana wangeng'amua draft la huyo Old CEO, inaonekana kwa muktadha huo huyo Old CEO ana akili nyingi kuliko hao the state au naye ni sehemu ya ze so called the state, maana alimuinstall CEO aliyelala ili kummaliza swaiba wake huku akiwapoteza maboya Lupaso na wenzake na kumuwekea "CEO aliyelala" deputy CEO wake pamoja na Mzee wa Namungo ambao the state wangekuwa na akili kama sio lao moja na Old CEO wangeshang'amua hili..
Haitoshi Old CEO huyo huyo tena amesimamia changez pale Lumumba na kumleta Alshabab kwenye kiti (swaiba wake kitambo) bado eti unasema kuna ze so called state kama state yenyewe sio huyo Old CEO...... Draft yake ina kete nyingi sana ndio shida ilipo, hata marehemu kila alipogusa alikutana na kete yake tena King.....fuatilia mabadiriko ya taasisi kama kweli uko dip na hapo ndio utaelewa mpaka bosi wa sasa ni nani wa nani....hata yule balozi mchungaji....


Nenda dip kwenye historia ya huyo old CEO toka enzi za Mchonga halafu rudi kwenye tukio la Dom 95 na 2005, halafu rejea 2015, rudi kwa maswahibu ya mamvi alipojaribu kilichomkuta, rejea tena kwa marehemu naye alipojaribu mambo yake kilichomkuta....huyo old CEO sio fala kama unavyifikiri tena anaweza kuwa sehemu ya hiyo unayouta state na inaonekana ni mtiifu kweli maana kwa maswahibu yote aliyopitia tungeshamsahau....
 
Unafikiri UONGO!!?huo NDIO UKWELI!!kuna watu ndani ya State waliapa kabisa kuwa yule jamaa hatopewa ushindi hata iweje!!kitendo kile cha Abdu jumbe kulazimishwa kujiuzulu na kuwekwa kizuizini Maisha yake yote kiliwauma Sana HAO jamaa!!! source humu jf!!

HAo watu ndio walikua wanampenda sana Aboud Jumbe ama? JUmbe liadhibiwa na CCM na sio Maalim Seif, sasa iweje leo hao waliomuadhibu Jumbe wawe ndio wajifanye wana uchungu nae? Acha porojo za vibarazani
 
HAo watu ndio walikua wanampenda sana Aboud Jumbe ama? JUmbe liadhibiwa na CCM na sio Maalim Seif, sasa iweje leo hao waliomuadhibu Jumbe wawe ndio wajifanye wana uchungu nae? Acha porojo za vibarazani
Maalum seif ndio alikua wa kwanza kumchongea jumbe KWA mwalimu nyerere!!na hatua iliochukuliwa ndio HIYO!!kizuizini hadi anakufa!!
 
Maalum seif ndio alikua wa kwanza kumchongea jumbe KWA mwalimu nyerere!!na hatua iliochukuliwa ndio HIYO!!kizuizini hadi anakufa!!
Kuna kitu huwa nashindwa kuelewa. Jumbe alizuiliwa Dar, au alikuwa huru kwenda kwao Zenji yeye akaamua kuishi Dar!
 
Kifo cha maalim hakitokani na Covid-19 bali kimetokana na safari yake na mwenzake walioifanya kwa njia mbili tofauti kuelekea nyumbani kwa raia namba moja. Decision from room 105 resulted to the brain respiratory center to shut down.
We jamaa upo!!?

Za siku mkuu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom