Makamu Nchimbi kwanini "Bodyguards" wake wote ni wanzanzibari je ni uoga????

Makamu Nchimbi kwanini "Bodyguards" wake wote ni wanzanzibari je ni uoga????

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,268
Reaction score
13,895
Makamu Nchimbi kwanini "Bodyguards" wake wote ni wanzanzibari je ni uoga wa machawa wa Mama?

Yaani wenyewe hawana imani kiasi kwamba wanafikiri ana muhujumu Mama hivyo wapambe wa Mama wamehakikisha amezungukwa na wazanzibari tupu.

Je tumefika huko ? tumekuwa tukisikia tu lakini angalienei kila video kwa wanaowajua jamaa hawa ni wanzanzibari tupu


View: https://youtu.be/H1ZC3SC0nB0?si=ojl6tycos0-atptr


Niliota ndoto : Mungu anasema Mama ni wakati wa kuaga watanzania sijui hii ina maana gani.
 
Makamu Nchimbi kwanini "Bodyguards" wake wote ni wanzanzibari je ni uoga wa machawa wa Mama????. Yaani wenyewe hawana imani kiasi kwamba wanafikiri ana muhujumu Mama hivyo wapambe wa Mama wamehakikisha amezungukwa na wazanzibari tupu. Je tumefika huko ? tumekuwa tukisikia tu lakini angalienei kila video kwa wanaowajua jamaa hawa ni wanzanzibari tupu


View: https://youtu.be/H1ZC3SC0nB0?si=ojl6tycos0-atptr


Niliota ndoto : Mungu anasema Mama ni wakati wa kuaga watanzania sijui hii ina maana gani.

Kwenye Hii video Nchimbi katupa bonge la dongo kwa Samia.

"Kosa kisheria ni kosa hata kama alifanya msaidizi wako"
 
Hana meno wasiwasi wa ni nini.? Hafi

Ukitaka mwanao aishi mpe mchawi amlee apaka awe masta wa mafekeche
 
Makamu Nchimbi kwanini "Bodyguards" wake wote ni wanzanzibari je ni uoga wa machawa wa Mama?

Yaani wenyewe hawana imani kiasi kwamba wanafikiri ana muhujumu Mama hivyo wapambe wa Mama wamehakikisha amezungukwa na wazanzibari tupu.

Je tumefika huko ? tumekuwa tukisikia tu lakini angalienei kila video kwa wanaowajua jamaa hawa ni wanzanzibari tupu


View: https://youtu.be/H1ZC3SC0nB0?si=ojl6tycos0-atptr


Niliota ndoto : Mungu anasema Mama ni wakati wa kuaga watanzania sijui hii ina maana gani.

nonsense
 
Makamu Nchimbi kwanini "Bodyguards" wake wote ni wanzanzibari je ni uoga wa machawa wa Mama?

Yaani wenyewe hawana imani kiasi kwamba wanafikiri ana muhujumu Mama hivyo wapambe wa Mama wamehakikisha amezungukwa na wazanzibari tupu.

Je tumefika huko ? tumekuwa tukisikia tu lakini angalienei kila video kwa wanaowajua jamaa hawa ni wanzanzibari tupu


View: https://youtu.be/H1ZC3SC0nB0?si=ojl6tycos0-atptr


Niliota ndoto : Mungu anasema Mama ni wakati wa kuaga watanzania sijui hii ina maana gani.

Hadi March hatunae hivi sasa Israili anamoigia misele mara 70 kwa siku sasa anatoboaje hapo?
 
Makamu Nchimbi kwanini "Bodyguards" wake wote ni wanzanzibari je ni uoga wa machawa wa Mama?

Yaani wenyewe hawana imani kiasi kwamba wanafikiri ana muhujumu Mama hivyo wapambe wa Mama wamehakikisha amezungukwa na wazanzibari tupu.

Je tumefika huko ? tumekuwa tukisikia tu lakini angalienei kila video kwa wanaowajua jamaa hawa ni wanzanzibari tupu


View: https://youtu.be/H1ZC3SC0nB0?si=ojl6tycos0-atptr


Niliota ndoto : Mungu anasema Mama ni wakati wa kuaga watanzania sijui hii ina maana gani.

Under siege!
 
SIKU YA SHERIA: Asiyekumbuka Atarudia Makosa.
Baba Askofu Kalikawe Lwakalinda Bagonza PhD
Kila mwaka tarehe 2 Februari huwa tunaadhimisha siku ya sheria. Hata mimi sijui ni kwa nini tarehe hii lakini huwa naipenda ili nipate fursa ya kuwasikia wanasheria na wana siasa wakidanganyana. Kila mwaka kuna “uwongo” mpya. Natafakari:

1. Rais wa Wanasheria wetu kasema viongozi wa kisiasa wawe waangalifu katika matamshi yao kuhusu kilichotokea Oktoba 29, 2025. Kuongea bila hekima kunatonesha mioyo ya watu na kuligawa taifa zaidi.

2. Mgeni rasmi, Makamu wa Rais akamuunga mkono kwamba tuache kusema yaliyotokea kwa sababu yanatonesha vidonda vya watu.

3. Hawa watu 2 wanaongelea jambo moja lakini wanategeana. Mmoja anataka kumbukumbu lakini isemwe kwa hekima, mwingine hataki kabisa isemwe. Mimi nadhani tunahitaji kumbukumbu ndiyo maana;

a) Kila mwaka 7/4 tunakumbuka kuuawa kwa hayati Amani Abeid Karume. Tunamtonesha nani?

b) Kila 14/10 tunakumbuka kifo cha hayati Julius Kambarage Nyerere. Tunamtonesha Mjaluo yupi?

c) Tuna siku ya mashujaa, Majimaji, Kifo cha Sokoine, Kifo cha Azimio la Arusha na Kifo cha mfumo wa chama kimoja kilichozaa vyama vingi ndani ya kimoja. Tunamtonesha nani?

SASA tukitaka watu wasitoneshwe itabidi;

i) Ahadi ya kuunda Tume ya Maridhiano iachwe ili tusitoneshane!

ii) Tume ya Jaji Chande iishie hapo maana itatutonesha.

iii) Waliojichagua na waliochaguliwa waachie ngazi maana wakibaki wanatutonesha

iv) Familia zinazodai miili ya ndugu zao ziache maana zinatutonesha

v) Walioshikiliwa mahabusu na zile nyumba salama waachiwe haraka maana wakibaki huko wanatutonesha.

vi) Siku zote za mapumziko kitaifa zinazotukumbusha mabaya zifutwe maana zinatutonesha.

Unajua: Wajaluo huwa wanashanbuliwa sana na funza/matekenya. Njia ya kuwasaidia huwa ni kuwatonesha mpaka wanatoa damu. Baada ya hapo wanajifunza usafi na kuacha kushambuliwa na funza.

Omera, Oduor, Ojwang na Odinga please. Tunataka mtoneshwe ili mjifunze kutorudia makosa. Tungeni hata wimbo mpya wa taifa la Wajaluo muweke mstari usemayo, “D29 haitarudiwa tena”.
 

Attachments

  • 1770047784400.jpg
    1770047784400.jpg
    233.3 KB · Views: 11
Makamu Nchimbi kwanini "Bodyguards" wake wote ni wanzanzibari je ni uoga wa machawa wa Mama?

Yaani wenyewe hawana imani kiasi kwamba wanafikiri ana muhujumu Mama hivyo wapambe wa Mama wamehakikisha amezungukwa na wazanzibari tupu.

Je tumefika huko ? tumekuwa tukisikia tu lakini angalienei kila video kwa wanaowajua jamaa hawa ni wanzanzibari tupu


View: https://youtu.be/H1ZC3SC0nB0?si=ojl6tycos0-atptr


Niliota ndoto : Mungu anasema Mama ni wakati wa kuaga watanzania sijui hii ina maana gani.

Aisee
 
Mbona ADC wa mama ni mbara hapo unasemaje?
 
Kwenye Hii video Nchimbi katupa bonge la dongo kwa Samia.

"Kosa kisheria ni kosa hata kama alifanya msaidizi wako"
Kwani mkuu hili ni dongo au ndo taratibu za kisheria katika utawala na utawala bora? Hii inaitwa "uwajibikaji" (accountability). Kwahivyo Nchimbi kaeleza kiutawala (administratively). Hakuna dongo hapo. Kuna ukweli mtupu.
 
Back
Top Bottom