GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Kwa elimu uliyokuwa nayo utasubiri radi, kwa wataalam tunapima hali ya hewa. Njaa yako na kutaka umaarufu ndiko kuliko kurudisha CCM. Bora ufanye biashara zako, kuliko kujiingiza katika siasa ambazo sasa unajivunjia heshima yako. Kama kweli umeona mafanikio ya CCM,
1) mbona mpaka leo wazee wetu pamoja na babu yako wa Africa mashariki hawajalipwa mafao yao?
2) Barabara gani ya kujivunia? ajari kila siku, hospitali hakuna dawa, vitanda na chafu
3) Shule hazina vyoo, maabara na walimu hajalipwa mishahara yao kwa miezi. hujui hayo?
Uhuru utaletwa kwa kujitolea na sio vibaraka kama wewe
Povu limekutoka mpaka chini ya kidevu, tulia unyolewe !