Tatizo la chama chetu hiki, kiongozi wake anapoonekana anashirikiana na viongozi wa chama tawala kwenye shughuli za kimaendeleo, anaonekana msaliti........! USHIRIKIANO PIA NI CHACHU YA MAENDELEO, acheni UJINGA
Nchi ya kunung'unika kuanzia rais ana nung'unika, waziri mkuu na mawaziri wenzake wananung'unika, viongozi wengine wote wananung'unika na wananchi wa kawaida wote wananung'unika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.