Wingu
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,318
- 401
Kuwa uwanjani halafu Mzungu akutupie Ndizi ndo utajuwa uchungu wake.Hapo wanataka wamchafue wamweke ndugu Yao.Ndo hicho tu hakuna cha ziada........
Hivi naibu Mwenyekiti wa chama atatupaje kadi chini kisa katukanwa na viongozi walio chini yake. There is something wrong with Arfi.