Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA (Arfi) atupa kadi kikaoni, atishia kujiondoa chamani!

Acha hizo kaka.Mbinu yenu na mnaowatumia wanajulikana.

Wewe mwenyewe ben unatumiwa kukivuruga chama chetu bt tunakuambia hatuvurugiki abadan utaondoka wewe chadema kama kina lukosi na wanafik wengne chadema imara haitingishiki
 
Ndio tabu ya ndoto za mchana , jamaa wanaweweseka hao .. leo nimeelewa kwa nini wengine bado wanamiliki kadi za CCM kwa sababu wanajua Chadema ni kama barafu jua likiwaka itayeyuka na kupotea

Loh hili neno zito sana. wenye akili timamu na wachukue nasaha hizi.
 
Kumbe una AKILI na UPENDO mkubwa tu kwa Taifa Mama Porojo?

Leo umenishangaza na imebidi nikupe LIKE.Ni LIKE ya moyoni mwangu haswa.....

Haya maneno chini ni maneno MAZITO SANA. Sijui kama uliandika ukijua waandika nini.... BIG UP.
Tunahitaji kuvuka mipaka ya kidini, kikabila na kisiasa na kujadili taifa letu. Vyama hufa lakini taifa litaendelea kuwepo.

Kijana alikuwa na haki ya kutuhumu kama tunavyotuhumu walioweka fedha Uswiss bila kujali nafasi zao kitaifa.

Arfi alitakiwa kujenga hoja kupangua tuhuma dhidi yake.
 
Matatizo yapo, absolutely. Na yataendelea kuwepo (kwa vyama vyote). The question is, njia bora ya kutatua tatizo is storm out? Hivi ukiwa na mgogoro kwenye familia yako unafungasha virago vyako na kuondoka?

Haya ndo matatizo ya M/Mwenyekiti kufanywa kibogoyo(kutokua nauwezo wa kufanya maamuzi), umewahi kumsikia wapi akitoa maagizo katika chama(kama ilivyokua kwa akina Malecela, Msekwa na sasa Mangula). Kama yupo kama picha unategemea afanye nini.
 
Watu kama nyie ni sawa na kuwa na mtoto Hitler wa Kisiasa. Unajisifu kuwa una mtoto kumbe......

Hata CCM kweli akina Nape akili zao hazijakaa sawa maana kama ni mimi, watu kama wewe always ni wa ku-handle with care. Once a hoe, always a hoe (politically).
Ndio tabu ya ndoto za mchana , jamaa wanaweweseka hao .. leo nimeelewa kwa nini wengine bado wanamiliki kadi za CCM kwa sababu wanajua Chadema ni kama barafu jua likiwaka itayeyuka na kupotea
 
Hivi cdm kingekuwa chama tawala huyo arfi angethubutu kutupa kadi hivyo? Wasidhani kuwa kwao chadema ni fadhila kwa chama
 
tartiiibu nanza kuamini ule usemi wa kiongozi mmoja wa juu wa ccm kuwa 'cdm hakuna watu wa kuingoza híi nchi'(kama sijakosea) na lazima tukubali kwamba cdm kuna matatizo/migogoro ya chini kwa chini zaidi ya hii tunayoisikia leo, inavyooneka kuhujumiana,kusalitiana,kunafkiana,kuhitilafiana etc ni kwingi mno ndani ya chama, hakuna kuaminiana tena, kama kiongozi wa juu wa chama anamtuma mtu/watu kwenda kumchafua/kumhujumu kiongozi mwenzake tena wa ngazi ya juu si mambo ya ajabu kabisa, sidhani kama mpaka 2015 cdm itakuwa imara vya kutosha kama hali ya mambo itaendelea kuwa namna hii, na inavyoonekana wasaliti mnajuana including wewe juliana s. na bado mnakaa kimya ila baadaye mkubali kubeba lawama
 
Kumbe una AKILI na UPENDO mkubwa tu kwa Taifa Mama Porojo?

Leo umenishangaza na imebidi nikupe LIKE.Ni LIKE ya moyoni mwangu haswa.....

Haya maneno chini ni maneno MAZITO SANA. Sijui kama uliandika ukijua waandika nini.... BIG UP.

daughter kichwani zimo sana ila siasa ni kama miwani ya rangi
 
acha upotoshaji, chanzo cha mgogoro Katavi ni kutowajibika kwa Arfi kisa anapumzika 2015(hagombei tena 2015)

Hivi nani aliijenga Katavi kichama, leo ameonekana haajibiki au kwakua ruzuku imeongezeka ndio maana anaonekana hafai.
 
Arfi! Arfi! Mwanasiasa ni lazima awe na ngozi ngumu. Kijana tu ankutuhumu unatupa kadi? Sasa wakikutuhumu watu wenye akili zao timamu si utajiua. Kuwa mkomavu, usipende kususa susa hiyo siyo sifa ya kiongozi bora.
 

Acha walie chama cha mapinduzi kina wenyewe

Acha hizo kaka.Mbinu yenu na mnaowatumia wanajulikana.

Mkuu,
Huna haki ya kuwanyoshea vidole waharifu wengine wakati na wewe ni walewale
Hata wewe wamekutumia sana kuiyumbisha CHADEMA toka uchaguzi wa BAVICHA ulipoisha mpaka juzi. Can you calculate the damage you have done to CHADEMA wakati ukiwa na wewe ni "masalia"

Subiri kwanza pale hukumu yako itakapotolewa na kutumikia hicho kifungo cha kisiasa na hapo ndipo utakapo kuwa na hiyo haki tena.
 
pole sana makamu ,nimeanza kusikia unahujumiwa mda mrefu,nina ushahidi wakutosha kuwa kuna dada mmoja ambaye kajiunga chama mwezi wa tatu mwaka huu ndiye katumwa na kiongozi mtendaji wa juu wa chama kuja kukuhujumu uonekane haufai ili huyo dada ndiyo agombee ubunge mpanda 2015
wanasahau kwamba wewe ndio umekijenga chama mpanda mpaka kimefika hapo.
Makamu sikushauri ususie chama,wewe ni kiongozi na mbunge unapaswa kupambana mpaka mwisho kuhakikisha dhuluma na uonevu wowote kwenye chama unafika kikomo.
Askari bora ni yule asiyekimbia vita.
Okota silaha yako,mapambano yanaendelea.jipe moyo mkuu,yana mwisho.
Wewe dada unatakiwa ufukuzwe chamani hufai rudi zako ccm naona unataka kutafutia watu ban
 
Kiongozi anayekimbilia kutupa kadi au kujivua uanachama chama chake kinapokuwa na matatizo si kiongozi kitu bali mzigo. Hivi kila mwanandoa atakimbilia talaka baada ya ndoa kukumbwa na misukosuko ya kawaida si wote tutakuwa wahuni? Arfi atafute sababu nyingine ya kujiondoa chamani na wakati muafaka. Vinginevyo ataonekana sawa na mapandikizi na wachumia tumbo na mapandikizi wengine. Rafiki wa kweli utamjua wakati wa dhiki na si mwisho wa mwezi. Kama Arfi kafanya hivyo basi CDM wamtue haraka kabla hajawaozea.

Hata Nyerere alitishia kutupa Kadi ya CCM wakati Malecela anaongoza kundi la G55 la kudai Serikali ya Tanganyika.
 
CTRL + Q to Enable/Disable GoPhoto.it


semeni sasa mti wenye matunda ndio unao pigwa mawe, mchekeshe watu!!! wenyewe kwa wenyewe mgogoro tupu
 
Back
Top Bottom