PostGE2025 Makamu Mwenyekiti CHADEMA John Heche azidiwa, akimbizwa hosptali ya taifa ya Muhimbili

PostGE2025 Makamu Mwenyekiti CHADEMA John Heche azidiwa, akimbizwa hosptali ya taifa ya Muhimbili

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Naomba awafie mikononi tu, tuanze kukimbizana mchana kweupe sasa.
 
Chanzo cha Serikali kukosa haya ni Magufuli, ndiyo maana leo katiba inaitwa kijitabu, Magufuli ni source wa haya yote kuchezea katiba na ndio maana wengine hawa wanaona katiba haina maana

Be strong John Heche, Mungu akurejeshee afya na nguvu tele
Kinachoniuma zaidi wanaomponda mama hawasemi hili. Hata Polepole angesema hili katika hotuba yake ya kwanza maandamano yangefanyika mapema. Na uchaguzi usingefanyika. Kosa laa Polepole ni kung'ang'ania kubaki CCM na uchaguzi ufanyike mwaka huu.
 
TUnamwomba Mungu amshindie Heche. Ole wao itokee vinginevyo. Heche alikuwa ni mwenye afya njema kabusa wakati haya mashetani yalipomchukua. Yote yanayotokea dasa tunajua yamesababishwa na haya mashetani.
 
Ingawa walimkata akiwa na afya nzuri kabisa,hawa ndiyo wangekuwa Viongozi wetu lakini wanaishia kuwekwa mahabusu huku mama Abdul na mwanaye wanaouza inchi wakiwa ikulu kwa wizi wa kula
 
Back
Top Bottom