DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
MAKAMU mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche, amekimbizwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili, jijini Dar es Salaam, baada ya hali yake ya kiafya kuripotiwa kudorora.
Taarifa hizi, zimethibitishwa na mmoja wa wanafamilia wa mwanasiasa huyo. Anasema, Heche alichukuliwa kutoka kituo cha polisi cha Mburahati, alikokuwa anashikiliwa na kukimbizwa hospitali, kutokana na hali yake ya kiafya kuendelea kuwa mbaya. Hajasema anasumbuliwa na maradhi gani.
Pia Soma: John Heche kusitisha kula kuanzia leo akiwa mahabusu
Chanzo: Mwanahalisi Digital
Taarifa hizi, zimethibitishwa na mmoja wa wanafamilia wa mwanasiasa huyo. Anasema, Heche alichukuliwa kutoka kituo cha polisi cha Mburahati, alikokuwa anashikiliwa na kukimbizwa hospitali, kutokana na hali yake ya kiafya kuendelea kuwa mbaya. Hajasema anasumbuliwa na maradhi gani.
Pia Soma: John Heche kusitisha kula kuanzia leo akiwa mahabusu
Chanzo: Mwanahalisi Digital