Hansen Nasli
JF-Expert Member
- Mar 18, 2012
- 883
- 337
hivi nyie mashabiki wa chadema mmesoma shule za wapi!?bora mngekuwa wanachama mngeyajua haya,moja humjui kama ni kiongoz wa chama kwahy viongoz unawajua wale wa jukwaani tu!?hebu jaribu kufikir kwanin SHONZA kaongea vile,ni BAVICHA imekaa kikao na kutolea uamuz ambao umepewa baraka!kwa kuijadili kauli ya HECHE ambayo alikurupuka na kuifanza kauli ya BAVICHA..hili suala haliitaji elimu ni tafakuri tu,na hata kama unaipenda chadema jaribuni kuwa unahudhuria chaman ujue mambo yanayohusu chama chako na sio kupata magezitini