bandu bandu ...
Unahangaika sana lakini hutofanikiwa.
bandu bandu ...
Ngoma ivumayo sana ...
wanawake wakiwezeshwa wanaweza!
Acheni sera kandamizi na za kibaguzi ,Mwana dada yuko sahihi kabisa unajua Heche kakurupuka na kujifanya yeye ndio BAVICHA kisa yuko karibu sana na Mwenyekiti pamoja na Katibu wa CDM.Ndio maaana sisi vijana wenye uelewa wa kutosha tutaendelea kukitumikia chama cha mapinduzi kwani hakina ukanda.CDM sasa hivi hawana na hawataki mtu yeyote toka mikoa mingine kushika uenyekiti, ukatibu mkuu au kugombea urais kupitia cdm labda uwe mchaga au mtu wa kaskzini.Kwa hali hiyo CCM lazima kitawale milele yote kwa ni chama cha wananchi wote wapenda amani na maendeleo.[vijana wa magamba kwa hoja nyeepesi utawajua tu.
Kaka yangu FJM, mbona umekuwa mgumu kuelewa? ina maana na wewe hujaelewa?
Tumpe ushirikiano mwana dada machachari, wanawake wakiwezeshwa wanaweza!
Wana Jamvi, naona kama yupo humu ndani atakuwa amewaelewa. Binafsi nilimcall na kumweleza alichokifanya Heche hakikuwa sahihi kumjibu punguani Shibuda, lakini nikamweleza alichikifanya yeye hakikuwa sahihi zaidi kutakana na njia aliyoitumia. Nilimwambia kosa halirekebishwi kwa kosa. Kakubali udhaifu hup, next time atakuwa makini. Kwa kifupi wanawadissapoint watanzania wataka mabadiliko.
Hatumsikii kwenye kazi ya kujenga Chama ila tunamsikia kwenye kubomoa, ni mmoja wa waliopandikizwa na ccm au kapewa fungu aichafue Chama? Kiongozi mzuri katika jamii au hata katika familia ni yule anayemkosoa kiongozi mwenzake kwenye vikao vya ndani au amfuate moja kwa moja kujua sababu ya kiongozi huyo kufanya jambo hilo.
Hivi katika familia mzazi mwenzako ukihisi amekosea unaita press conference ili kuwatangazia maadui zako? Dada yetu ajiangalie kama yuko sawa, vijana tutaanza kupoteza imani na uwezo wake wa kufikiri na kutatua matatizo kiuongozi katika jamii.
Nawasilisha wakuu.
..dada kasema ukweli heche hatukumtuma sisi kama wanachama wa umoja wa vijana chadema iweje aende kusema kwa mgongo wetu bwana, hili ndo litakalokiua hiki chama la kutotaka kuambiwa ukweli
hata Chadema haifurahii kuwa na wanachama wap.u.mbav kama ww ambae hata kosa la Heche mpaka sasa hujalijua? Jifunze Tofauti ya 'Tamko la mwenyekiti wa Bavicha' na 'Tamko la BAVICHA' unaweza kuja kusaidia mbele ya safari!
Hatumsikii kwenye kazi ya kujenga Chama ila tunamsikia kwenye kubomoa, ni mmoja wa waliopandikizwa na ccm au kapewa fungu aichafue Chama? Kiongozi mzuri katika jamii au hata katika familia ni yule anayemkosoa kiongozi mwenzake kwenye vikao vya ndani au amfuate moja kwa moja kujua sababu ya kiongozi huyo kufanya jambo hilo.
Hivi katika familia mzazi mwenzako ukihisi amekosea unaita press conference ili kuwatangazia maadui zako? Dada yetu ajiangalie kama yuko sawa, vijana tutaanza kupoteza imani na uwezo wake wa kufikiri na kutatua matatizo kiuongozi katika jamii.
Nawasilisha wakuu.
ndio wanaweza kama sofia simba, anne makinda, mary nagu, celina kombani, migiro(un)Kaka yangu FJM, mbona umekuwa mgumu kuelewa? ina maana na wewe hujaelewa?
Tumpe ushirikiano mwana dada machachari, wanawake wakiwezeshwa wanaweza!