Labda anatamani kutuletea umaskini wa kutupwa ili wakati wakura awagawie wansnchi kofia, tisheti na khanga ili wampigie kura. Akimaliza kuwafanya watz kuwa duni hatakuwa na wa kumpinga kila alitakalo..simuungi mkono ni mbovu sana ktk eneo la uchumiSio ishara nzuri kwa makampuni makubwa kuyumba .....
Lakini tutafakari kwa makini nini kimebadilika Tanzania?.
Kama ni kodi je uko nyuma walikuwa wanalipa kodi?.
Kama ni ndio kwa nini wanayumba?......
Maswali yanabaki kuwa na wao kuna sehemu wamekosea pia......
Maana kila mmoja hapo naona anguko lake ni tofauti na la mwingine......
Mkuu kwa watanzania wengi shell ni vituo vyote vya mafuta bila kujali ni kampuni gani ya hivyo vituo. Kazi kwelikwelishell= Vituo vya mafuta
Shell ni kampuni kubwa ya mafuta huko America.. ni kama zilivyo PUMA, BP, TOTAL na ORYX
Economic recession do occur many countries .This is not a good sign to the economy of the country. It is very true that Companies should adhere on the required Country polices, but at the same time the Government must put in place a conducive ways to the businesses in order to operate successfully and be able to pay taxes to meet the Government budget. No business no Taxes, this is the simple logic.
Kuwacha=kuacha= Mabadiliko
= mabadiliko
Hujuwi namna ya kuwacha nafasi "spacing" unapoandika?
Huwa mna mawazo mazuri lakini mnapoyawasilisha kwa kukosea wapi pakuweka R na wapi pakuweka L ladha yote ya kusoma inaondoka.
Hivi mlienda shule kusomea ujinga?
wacha chamoto waione walizoea kupiga diliMabadiriko ya kisiasa na kiuchumi huambatana na athari chanya na hasi.Maboresho ya sera,sheria,usimamiaji sheria,utekelezaji maazimio na usimamiaji.Athari chanya na hasi haziepukiki pindi mapinduzi ya taratibu za kimaisha zinapobinuliwa kwa maslahi tofauti kitaifa na kiuongozi.
Taasisi na makampuni mengi za kibiashara {uwekezaji} zimeyumba hata kupelekea kufunga biashara,kupunguza wafanyakazi,kusimamisha biashara,kuuza hisa na kutafuta wabia mbadala.lakini pia zipo kampuni ambazo zimewekwa chini ya uangalizi wa taasisi za fedha na nyingine kuwa katika mchakato wa kufirisiwa.
Mfano wa taasisi na makampuni tajwa ni Airtel {Redundancy},TBL{Redundancy},Home Shopping {Change Name},GSM Malls {Punguza Wafanyakazi},GSM Media {Imefungwa},Living Room {Kupunguza wafanyakazi},Subway-Diamond Plaza {Fungwa},IPP,SSB,Cocacola,Bravo {redundancy},BMTL {redundancy},Freightworld {redundancy},MTL,DSM Collidor,Quality Group,Abla Properties {...},Spencon {winding up},Acacia {Makinikia},Twiga Bancorp {Supervisory},Gapco {Sold to Total} n.k..
Kama taifa yatupasa kuhakiki faida na hasara za muda mrefu za mabadiriko,marekebisho,maboresho na ufinyangaji wa michakato,sera,usimamizi,utekelezaji wake.Ninayo imani yamkini ipo nia thabiti kabisa ya kila linalofanywa sasa kwa faida za kizazi kilichopo na kijacho hivyo basi tathmini ifanyike ili kulinda biashara halali zilizopo pamoja uwekezaji wa mabilioni na wenye athari mtambuka {ajira,kodi,n.k}.
Wasomi wengi wanamatizo ya R na L kimatamshi na kimaandishi alipingiki mkuu= Mabadiliko
= mabadiliko
Hujuwi namna ya kuwacha nafasi "spacing" unapoandika?
Huwa mna mawazo mazuri lakini mnapoyawasilisha kwa kukosea wapi pakuweka R na wapi pakuweka L ladha yote ya kusoma inaondoka.
Hivi mlienda shule kusomea ujinga?
Nashukuru mkuu[emoji418] Hujuwi
[emoji736]Hujui
halafu hili neno linakupa shida kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujuwi = Hajui= Mabadiliko
= mabadiliko
Hujuwi namna ya kuwacha nafasi "spacing" unapoandika?
Huwa mna mawazo mazuri lakini mnapoyawasilisha kwa kukosea wapi pakuweka R na wapi pakuweka L ladha yote ya kusoma inaondoka.
Hivi mlienda shule kusomea ujinga?
Acha ubishi wa kijinga, umekosea, kubali tu.Halinipi shida. Wengi wanaandika walivyofundishwa (ujinga) mimi nnaliandika linavyotamkwa.
Hao tayariNilisikia DHL nao wanafunga ofisi zao hapa Tanzania ingawa sina uhakika.
Oyooooo!!! Faiza kakubali mawazo. Next time wasilisha vizuri naamini yeye kakuelewa sio kama wale vichwa panzi wengine.= Mabadiliko
= mabadiliko
Hujuwi namna ya kuwacha nafasi "spacing" unapoandika?
Huwa mna mawazo mazuri lakini mnapoyawasilisha kwa kukosea wapi pakuweka R na wapi pakuweka L ladha yote ya kusoma inaondoka.
Hivi mlienda shule kusomea ujinga?
= Mabadiliko
= mabadiliko
Mbona mkuu na wewe umeteleza tena? Umeandika "Hujuwi" badala ya "Hujui" na "Kuwacha" badala ya "Kuacha"
Hujuwi namna ya kuwacha nafasi "spacing" unapoandika?
Huwa mna mawazo mazuri lakini mnapoyawasilisha kwa kukosea wapi pakuweka R na wapi pakuweka L ladha yote ya kusoma inaondoka.
Hivi mlienda shule kusomea ujinga?
Kuna mambo matano ya msingi ambayo Serikali yetu hii naamini inayajua lakini inajifanya haiyajuai.
1. Market base yetu (kama ilivyo kwa nchi nyingi za Afrika ukitoa Kenya, South Africa, Nigeria na North Africa) ni very weak ambayo halitoi incentive kubwa kwa wawekezaji wakubwa kuvumilia " political-based policy shocks" kama hizi. Bado nchi inategemea sana wafanyakazi wa serikali kama "middle class". Ukiangalia kinachofanywa kwa hao watumishi wa umma definitely, lazima athari zake zitaonekana katika soko.
2. Sekta Binafsi yetu ni changa na very weak na kwa kiasi kikubwa imepata msukumo kidogo kutokana na uwekezaji wa makampuni mengi ya nje ikiwa pamoja na Kenya na hao wazungu tunaowaona wezi au wapiga dili.
3. Kwa muda mrefu, nchi za kiafrika zimekuwa zikibuni njia za ziada za kuvutia uwekezaji wa nje ili kuvutia mtaji, kuchochea ushindani na kuvutia teknolojia na utaalam. Haya masuala ya incentives yamebuniwa ili ku-rectify changamoto za uzalishaji na mazingira mabovu ya biashara (Supply side constraints and unfavorable business environment".
4. Biashara, au tuseme uchumi kwa ujumla hautaki "kiongozi imara", vinataka taasisi imara ikiwa pamoja na mazingira yanayoruhusu matumizi ya sheria katika kupata haki. Tukumbuke, tumetumia nguvu kubwa sana kuishawishi jumuiya ya kimataifa kwamba hatutarejea kwenye nationalization au centralized economy.
5. FDI tunayojisifia ambayo tumekuwa tukiongoza katika eneo la Afrika Mashariki limechangiwa na sekta za natural resources ikiwemo madini, gesi, nk.
Kwa kuwa hizi sekta zipo katika hali ya uchanga ukizingatia tuna hiztoria ya nationalization huko nyuma, kufanya maamuzi yasiyozingatia masuala haya bila shaka kuna "gharama" huko mbele ya safari. Serikali ilipaswa itumie diplomasia ya hali ya juu katika kurekebisha pale palipokuwa na makosa badala ya maamuzi yanayotawaliwa na mihemko ya wateule wa Rais.
Hakuna issue za Siasa hapo!Serikali iliyopita ilikua ya chama gani?na uyo mwenye nchi anatokea chama gani pia? Kwanza hapo
Kwa suala la kodi acha tu walipe kodi halali waache magumashi..biashara nyingi zilishamiri kwa madili na ukwepaji mkubwa wa kodi ya serikali..acha akaze tujue wanaofanya biashara kihalali na ambao walikuwa wanapiga dili chafu... Unakuta mfanyakazi kabla hujapata hat pay check yako wameshachukua kodi yao mapema, hawa wafanyabiashara walikwepa mno wakati mapato yao ni maradufu ya wafanyakazi..tena natamani wigo uongezwe hata kwa wenye nyumba za kupangisha walipe kodiSio ishara nzuri kwa makampuni makubwa kuyumba .....
Lakini tutafakari kwa makini nini kimebadilika Tanzania?.
Kama ni kodi je uko nyuma walikuwa wanalipa kodi?.
Kama ni ndio kwa nini wanayumba?......
Maswali yanabaki kuwa na wao kuna sehemu wamekosea pia......
Maana kila mmoja hapo naona anguko lake ni tofauti na la mwingine......
Hujuwi=Hujui= Mabadiliko
= mabadiliko
Hujuwi namna ya kuwacha nafasi "spacing" unapoandika?
Huwa mna mawazo mazuri lakini mnapoyawasilisha kwa kukosea wapi pakuweka R na wapi pakuweka L ladha yote ya kusoma inaondoka.
Hivi mlienda shule kusomea ujinga?