Makampuni Makubwa Yatikisika

Makampuni Makubwa Yatikisika

Kama Acacia na Anglo gold hawakukubali kutuongezea kiduchu basi uhakika bajeti ya mwaka huu ikifika Decemba tutapata machungu.
Uwezo wa biashara nyingi utapungua sana na kodi kupungu
The only solution ni Acacia watupe mgao mkubwa kufidia otherwise bunge litakaa tena kufanya mini budget
 
  • Thanks
Reactions: SDG
TBL wanayumba kwa mengi.
Poor purchasing power,na ufunguaji wa bar saa 10 alasiri

May Allah bless Me and You
Hiyo sheria ya Bar siyo leo wala jana.Aliyepo anatekeleza sheria tu.
 
= Mabadiliko
= mabadiliko

Hujuwi namna ya kuwacha nafasi "spacing" unapoandika?

Huwa mna mawazo mazuri lakini mnapoyawasilisha kwa kukosea wapi pakuweka R na wapi pakuweka L ladha yote ya kusoma inaondoka.

Hivi mlienda shule kusomea ujinga?
Angelia na soma kilicho andikwa na kina maana gani sio unabaki kukosoa kosoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Acacia na Anglo gold hawakukubali kutuongezea kiduchu basi uhakika bajeti ya mwaka huu ikifika Decemba tutapata machungu.
Uwezo wa biashara nyingi utapungua sana na kodi kupungu
The only solution ni Acacia watupe mgao mkubwa kufidia otherwise bunge litakaa tena kufanya mini budget
Siyo kweli.
 
Hauhitaji kuwa na diploma kulijua hili 4 the past 30yrs nchi ilikuwa inaenda ki ujanja ujanja kuirudisha kwenye mstari ghafla madhara ndo haya ni wazi wawekezaji feasibility studies zao wali jumuisha mianya ya kodi kwenye faida.bila kurekebisha viwango vya kodi biashara nyingi zitakufa.
Hata ununuzi wa MV DSM ulikuwa wa UJANJAUJANJA?

May Allah bless Me and You
 
Mabidiliko ya kukomoana na yanayoongozwa na chuki binafsi na kinyongo hubomoa zaidi kuliko kujenga...mabadiliko ya kiuchumi sharti yawe yale yenye mtazamo chanya for the common good of all the society...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hauhitaji kuwa na diploma kulijua hili 4 the past 30yrs nchi ilikuwa inaenda ki ujanja ujanja kuirudisha kwenye mstari ghafla madhara ndo haya ni wazi wawekezaji feasibility studies zao wali jumuisha mianya ya kodi kwenye faida.bila kurekebisha viwango vya kodi biashara nyingi zitakufa.
Na hapa bado ni mwanzo tu na lazima sheria zifuatwe tu
 
Kama Acacia na Anglo gold hawakukubali kutuongezea kiduchu basi uhakika bajeti ya mwaka huu ikifika Decemba tutapata machungu.
Uwezo wa biashara nyingi utapungua sana na kodi kupungu
The only solution ni Acacia watupe mgao mkubwa kufidia otherwise bunge litakaa tena kufanya mini budget
Walivyo na kiburi bunge halitakaa

May Allah bless Me and You
 
= Mabadiliko
= mabadiliko

Hujuwi namna ya kuwacha nafasi "spacing" unapoandika?

Huwa mna mawazo mazuri lakini mnapoyawasilisha kwa kukosea wapi pakuweka R na wapi pakuweka L ladha yote ya kusoma inaondoka.

Hivi mlienda shule kusomea ujinga?
Faiza si kosa lao.Hukumbuki kuwa mwanzo walikuwepo walimu wa U.P.E. (Universal Primary Education). Hawa walijulikana kama 'Ualimu Pasipo Elimu.' Baadaye wakaja wale wa 'Voda Fasta.' Kila mmoja alikuja na utamaduni wake na lafudhi yake.
Wahurumie hawa maana ni zao la kushindwa kwa mfumo wetu wa elimu.
 

Kiswahili hakitaki hivyo.
Mantiki inakosekana na UKAKASI unaongezeka

May Allah bless Me and You
kiswahili kinatakaje? kuna lahaja za aina ngapi za kiswahili? mi nasisitiza bi faiza fox nampendaga saaana mpaka nahisi kuumwa. akili yake hua haichuji mama smart sana huyo.... nampendaga saaana
 
Soon shell nyingi za mafuta nazo zitafungwa.
Kweli kabisa mkuu hasa baada ya kufungwa kwa autometed EFD na ukitilia maanani faida ya mafuta vituoni ni ndogo sana wengi wataona isiwe tabu.
 
Back
Top Bottom