Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Dr Dr Dr (Fitna, Majungu, Unazi) Makamba yu njiani kujiuzuru
taarifa zilizonifikia hivi punde kuna ushawishi mkubwa kutoka NEC juu ya Makamba kutoendelea na wadhifa wake wa Ukatibu Mkuu! Mkutano wa NEC ulio mbioni kufanyika huenda utamtema kutokana na vuguvugu kubwa la kumtaka aachie ngazi haswa kuhusiana na sakata la Arusha! Tega sikio kuskia zaidi
Baada ya kuchakachua kura wakishirikiana na NEC wakati umefika wa kumchakachua Makamba......................lakini hawataishia hapo mwishowe raia tutahakikisha haki inatendeka na JK anaachia ngazi na kumpisha Dr. Slaa...........................