Makamba yu njiani kujiuzuru?

taarifa zilizonifikia hivi punde kuna ushawishi mkubwa kutoka NEC juu ya Makamba kutoendelea na wadhifa wake wa Ukatibu Mkuu! Mkutano wa NEC ulio mbioni kufanyika huenda utamtema kutokana na vuguvugu kubwa la kumtaka aachie ngazi haswa kuhusiana na sakata la Arusha! Tega sikio kuskia zaidi

mkuu kutoka wapi?
 
Bora wamuache ili tuendelee kupata uhondo na chichiem izidi kujimbia kaburi

hapa umenena mkuu huyu jamaa abakie azidi kuharibu maana amesaidia sana wapinzani kuwa na nguvu.

kwa kuwa huyu jamaa hajui chochote zaidi ya porojo ni bora sana kuliko kuja mwingine ambaye anaweza kuanza kukisuka sisiem kikasimama tena.

kwa sasa sisiem inahemea kwenye mashine ya dharura ni vyema huyu ambaye hajui kitu aendelee ili upinzani uzidi kug'ara na kuwapiga chini 2015
 
kama mnania kweli ya kuiondoa ccm madarakani 2015 basi MAKAMBA na TAMBWE HIZA wasitoke ktk nafasi zao, maana jamaa hao wapomstari wa mbele ktk mapambano ya kuua upinzani TZ lakini bunduki zao vitako vinaanga mbele upande wa wapinzani mtutu uanangalia nyuma kilipo ccm na wanashambulia kwelikweli. HAWA jamaa ni mtaji mzuri wa wapinzani ktk mapambano dhidi ya CCM
 
Hawa CCM tuwajuao? Hiyo hadi atakapoamua JK, hakuna cha wajumbe wa NEC. Vikao vya CCM vipo hapo kubariki maamuzi ya viongozi. So long as powers that be hawajaamua ataendelea kubaki hapo alipo na kubwabwaja hata avurunde namna gani. By the way, nimekutana na wale wana CCM hasa ambao ni baadhi ya wajumbe wa NEC wanamsifia sana Makamba kwa ufafanuzi alioutoa na wanasema amefanya kazi nzuri kuzima kelele za CDM. Sikio la kufa halisikii kofi, hata ulipigeje!!

Hakuna namna ya kuirekebisha CCM isipokuwa kwa kuiweka pembeni. Tuache kabisa matumaini kwamba kuna siku CCM itakuja badilika, hakuna kitu kama hicho. CCM's illnesses are as chronic as those of KANU, ZANU-PF, UNIP, Malawi Congress Party and other parties that were around when African countries were granted/fighting for their independence. Let's face it, CCM is a moribund party that will never resuscitate! It is therefore utterly hopeless to have any hope in this rather morgue party!
 
makamba%25282%2529.JPG


mkimtoa cuf watafanya maandamano.
 
Makamba akitoka itakuwa pigo kwa upinzani!!

Hakuna mpinzani anaweza kubomoa ccm kama makamba

Mkuu kwa CCM ilipofikia na Aina ya Wanachama/Wapenzi watiifu ilio nao inamhitaji sana Makamba kama Katibu Mkuu. Makamba anamatch sana na aina ya wapenzi na wanachama wa CCM wa sasa hivi, Wapenzi na wanachama wa CCM wa sasa hivi wanahitaji Mchekesahaji na Mpika Majungu zaidi ya wanavyomhitaji Mtu Makini hata CCM Makao makuu wanalitambua hilo na ndiyo maana hawatamatimua
 
habari njema kiufupi hiki kibabu kimechangia kiasi kikubwa kushindwa kwa ccm maeneo mengi katika ubunge hasa ya mijini.kila mwana ccm anataka huyu ajuza aanze so JK hii ndo nafasi yako kuonyesha japo una mamlaka kwenye chama!!
 
Kama baba wa CCM Lowasa ataamua Makamba anaweza kuondoka kwenye nafasi hiyo. Uwezekano huo upo maana kwa tetesi Mkuru huyo wa zamani haivi kivile na JK kama ilivyokuwa kabla ya kujiuzuru.
 
Kuna tetesi ambayo itathibitishwa muda siyo mrefu nadhani ndani ya wiki kwamba FISADI Yusuf Makamba amesalimu amri na kuamua kujiuzulu wadhifa wa ukatibu mkuu wa CCM. Chanzo Bofya Hapa
 
Is this true?

Taarifa za kuaminika kutoka ndani ya Chama Tawala CCM, zinasema kwamba, Katibu mkuu Yusuf Makamba anajiuzulu U-katibu mkuu. Kiongozi huyo anajiuzulu kutokana na shinikizo kali ambayo amepewa na makada wa kamati kuu ya chama hicho iliyokutana faragha ikulu chini ya Rais Kikwete. Mwingine ambaye anaweza kujiuzulu muda wowote hata kabla ya Makamba ni IGP Said Mwema. Tutawataarifuni zaidi punde tu tutakapo pata habari zaidi. Ila kuna uhakika wa huyu mzee kutangaza kati ya wiki hii na wiki Ijayo. Kujiuzulu kwake kumepambwa kama kustaafu. Stay tuned


Source: Informer Ndani ya Kamati Kuu
CORRUPTION IS OUR WAR: BREAKING NEWS, YUSUF MAKAMBA AJIUZULU !!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom