Mchungaji--
Ahsante kwa mchango wako. Tuombe uzima InshaAllah. Mungu ni mwenye rehma.
Makamba Forum at it again. I think we should verify the sources kabla hatujaanza kutukana watu.
As far as January, I just hope all of u (who are against him by his last name) will be willing to change your minds on this kid. Because big things are coming, as far as Bumbuli is concerned. Just pay attention. We are talking about innovative ways of pulling a community out of poverty. Sio blah blah za mifuko ya simenti. Classical economic development.
Makamba ni mgonjwa tena karibia anaanza kuokota makopo. Mtu mzima anaropoka utafikiri mwenda wazimu. Sasa January kilaza awe waziri wa nini? waziri wa Clouds FM? atakuwa kama dada na baba yake mpayukaji? kwanza mwamvita si alikuwaga mnenguaji, kwa sababu alikuwa akizurura sana na watu wa mabendi! mara kawa mkurugenzi Vodacom na uzoefu gani wa kazi? January pia Ikulu kwa uwezo gani alonao? Hili kundi la kikwete na Makamba waondoe familia zao kwenye uongozi wa nchi. Miraji anavuta unga yeye hana mambo mengi. Tatizo ni Salma Kikwete, Ridhiwani na January Makamba.
Heri ya Ridhiwani, kwa sababu anajua fika kwamba akili hana na anatumiwa ilhali hajui. Hau hawa watu wanaogopa Slaa akichukua nchi wataingiwa lupango? basi wasubiri waanze kupigwa mawe
January hana uwezo wa kuwa waziri. Speeches (Hotuba) za kikwete zilivyombovu uwezo wa kuongoza wizara atoe wapi, au kwa sababu nchi ni mali ya baba na kikwete ndo kila kitu apewe? jimboni baada ya kufanyiwa ufisadi na kuwannunua upinzani ulitosha siyo uwaziri. Akijaribu tu, nchi kwisha. Kikwete asituchezee kabisa sisi siyo watoto na nchi siyo mali yake. Kuna vijana makini mno kuliko January, Wakina Mwanakijiji, Nyani Ngabu, Dr. Hildebrand Shayo, John Mashaka na wengine wengi makini wapo wametulia, ambao wana uwezo mkubwa wa kuongoza bila shida lakini siyo January.
Blog yake aliiba articles za watu akadai zake, speeches za kikwete anadesa iwe kuongoza wizara? huyu mzee makamba kalewa. Madhambi yake yaliyomfanya afukuzwe uwalimu ukuu asilete kwenye uongozi wa nchi. Haki ya nani, Kikwete na Makamba wakiendeleza kuingiza familia zao kwenye uongozi wa nchi, nchi itapasuka kesho. hii ndio dalili ambayo tunaiona sasa hivi
Kama kawaida yake, katibu mkuu wa CCM mzee Yusuf Makamba amewaacha hoi viongozi wengine wa ngazi za juu wa chama hicho baada ya kusema kwamba yeye hazai wala halei mtoto asiye na akili. Akatoa mfano wa kijana wake January ambaye hakuwa na mpinzani. Mzee huyo aliendela kusema kwamba, atashangaa sana iwapo mwanae hatapewa uwaziri kwani kijani huyo alikosa mpinzani kutokana na uwezo wake. Wanajamvini, ni kweli uyu mzee anaitendea nchi haki kwa matamshi kama haya? Kwanini mtoto wake lazima awe waziri?
Makamba ni mgonjwa tena karibia anaanza kuokota makopo. Mtu mzima anaropoka utafikiri mwenda wazimu. Sasa January kilaza awe waziri wa nini? waziri wa Clouds FM? atakuwa kama dada na baba yake mpayukaji? kwanza mwamvita si alikuwaga mnenguaji, kwa sababu alikuwa akizurura sana na watu wa mabendi! mara kawa mkurugenzi Vodacom na uzoefu gani wa kazi? January pia Ikulu kwa uwezo gani alonao? Hili kundi la kikwete na Makamba waondoe familia zao kwenye uongozi wa nchi. Miraji anavuta unga yeye hana mambo mengi. Tatizo ni Salma Kikwete, Ridhiwani na January Makamba.
Heri ya Ridhiwani, kwa sababu anajua fika kwamba akili hana na anatumiwa ilhali hajui. Hau hawa watu wanaogopa Slaa akichukua nchi wataingiwa lupango? basi wasubiri waanze kupigwa mawe
January hana uwezo wa kuwa waziri. Speeches (Hotuba) za kikwete zilivyombovu uwezo wa kuongoza wizara atoe wapi, au kwa sababu nchi ni mali ya baba na kikwete ndo kila kitu apewe? jimboni baada ya kufanyiwa ufisadi na kuwannunua upinzani ulitosha siyo uwaziri. Akijaribu tu, nchi kwisha. Kikwete asituchezee kabisa sisi siyo watoto na nchi siyo mali yake. Kuna vijana makini mno kuliko January, Wakina Mwanakijiji, Nyani Ngabu, Dr. Hildebrand Shayo, John Mashaka na wengine wengi makini wapo wametulia, ambao wana uwezo mkubwa wa kuongoza bila shida lakini siyo January.
Blog yake aliiba articles za watu akadai zake, speeches za kikwete anadesa iwe kuongoza wizara? huyu mzee makamba kalewa. Madhambi yake yaliyomfanya afukuzwe uwalimu ukuu asilete kwenye uongozi wa nchi. Haki ya nani, Kikwete na Makamba wakiendeleza kuingiza familia zao kwenye uongozi wa nchi, nchi itapasuka kesho. hii ndio dalili ambayo tunaiona sasa hivi
it must be a duck!If it looks like a duck, acts like a duck, and quacks like a duck it is probably just a tool of the conspiracy
kitatushitaki kwa Mungu, kwa haya tutakayokuwa tumeyatenda ndani ya nchi hii. Tukatimize wajibu wetu wa kupiga kura.Mpaka makamba kafikia hatua ya kusema haya then this was a long term plan, hawa jamaa wanataka kuimilikisha hii nchi, wana kauli za kukinzana sana, Rais alisema bashe si raia, Waziri anayeriport kwa rais akasema bashe raia, hatujui wa kumuamini so far, si rais wala mawaziri. Hawako organized, wanapeana vyeo pasi na kuangalia utendaji wao wa kazi ila kujuana na kufahamiana zaidi, wengi wao wana elimu za junction of disjunctionctions.
Koz kasema hatashangaa so am sure kama JK ataukwaa urais for the next 5 years then January atakua waziri na hata kama sio waziri then naibu waziri, ila sio kwamba anaweza kiutendaji ila basi tu nae apate KULA, na aendelee kulinda Maslahi yao. Tusipokua makini kizazi kijacho kitakua hakina pa kushika. hakutakua na uwezo wa kubridge gap kati ya masikini na matajiri. nchi kuongozwa kwa kufuata ma ukoo ya viongozi ni upuuzi mtupu.......
mwisho wa yote sijui utakuwa vp?????.......mungu atusaidie sisi na vizazi vyetu........
sugu anamlaani mpaka kesho huyu mse**e ndiye aliyeshiriki kudhulumu haki zake katika ile malaria no more.
Sasa wote watunga sheria tutaona kitakachotokea. CLOUDS NASIKIA WAMEANZA KUPIGA NYIMBO ZAKE Kwa hofu lol
Natabiri kuwa January Makamba will be among the young Ministers in serkali ya Kikwete bila uzoefu wowote na kama hatajirekebisha anaweza kuwa worse than Lau Masha kwa kudhulumu haki za Watz kupitia cheo alichonacho kama alivyokuwa akifanya wakati wa utumishi wake Ikulu. May be he will be the next Lau Masha.
Kama Kikwete atamteua huyu January Makamba kwenye Cabinet yake ajue atakuwa na mtu kwenye serikali yake ambae hata siku moja hataruhusiwa kukanyaga ardhi ya Marekani !! Hayo yalisemwa na mwanamama wa Kimarekani Lisa Rockerfeller aliyemtambua January Makamba kama ndiye aliyemtishia maisha yake kwenye mtandao na akaapa kuwa angefanya kila liwalo huyu jamaa asiingie kwao kwani ni GAIDI!!
Hivi January naye anajihesabu mbunge.Natabiri kuwa January Makamba will be among the young Ministers in serkali ya Kikwete bila uzoefu wowote na kama hatajirekebisha anaweza kuwa worse than Lau Masha kwa kudhulumu haki za Watz kupitia cheo alichonacho kama alivyokuwa akifanya wakati wa utumishi wake Ikulu. May be he will be the next Lau Masha.