Makamba atamba, mtoto wake lazima awe waziri....

Makamba atamba, mtoto wake lazima awe waziri....

mbona watu hawampigii kelele Husein Mwinyi ama Nape Nnauye?,

Alhaji Ally Hassan Mwinyi amestaafu na yuko kimya katika masuala ya siasa. Muheshimiwa Yusufu Makamba ni katibu mkuu wa CCM hivyo amekuwa akisikika mara kwa mara katika hili na lile.

kitu ninachosema ni kwamba si vyema kumjaji January tokana na matendo ama kauli za Baba yake bali ni hekima kumjaji January kama January.

Asante.
 
Kwa haraka haraka mfano mmoja muuulize Mr 11 a.k.a Sugu alivyofanyiwa na January kwenye mradi wa Malaria, Kuhusu kuwa waziri hilo halina ubishi kwani analandana kwa tabia na Masha na sitoshangaa akipewa wizara ile ile kufanikisha mradi wa vitambulisho vya kitaifa ambao una utajiri wa kufa mtu pale utakapokamilika

Mkuu, tafadhali nifahamishe kuhusu ufisadi huo. Sikupata bahati ya kuona ama kusoma kitu kama hicho. Ni hadithi toka kwa Mr 11 a.k.a Sugu kuhusiana na ufisadi wa January ikiwa pamoja na ushahidi wa kutosha?. Jamani mnyonge mnyongeni lakini haki yake mwachieni.
 
Makamba alishasema mwanae lazima awe waziri. Lakini Watanzania nawaonya, huyu mtoto wa makamba ni fisadi kupita maelezo. Akiwa Ikulu, amepitisha zabuni nyingi kupitia mgongo wa Ikulu, Wahindi wamempa hela nyingi sana kwenye kampeni zake, ameanzisha biashara Kibao. Malaria nomore ni mradi ambao amejineemeshea kweli na rafiki yake Ruge Mutahaba. Hawa watu hawafai

Inawezekana hii issue ni kweli, maana hata mimi nilipata maswali mengi iweje CLOUD's FM wamwandalie JK birthday yake. Kumbe rafiki yake mkubwa ni huyo kwenye maandishi mekundu?
Thanks MGsalon
 
Inawezekana hii issue ni kweli, maana hata mimi nilipata maswali mengi iweje CLOUD's FM wamwandalie JK birthday yake. Kumbe rafiki yake mkubwa ni huyo kwenye maandishi mekundu?
Thanks MGsalon

Kama unataka kujua huyu JK,Januari na Ruge wanaukaribu,sikiliza kipindi kinachorushwa na CLOUDS kuanzia saa 11 jioni kila siku;JAHAZI.
Watangazaji ni Kibonde-(Asalam-aleikum) na jamaa mwingine anaitwa Habash kama sikosei.Yaani hawa jamaa ni kufagilia JK kwa saana tena kwa nyondo!

Ukisikiliza kipindi chao ni umbeya mtupu sawa na wanawake wako kwenye Kitchen Party. Utasikia wanavyokandia upinzani na sera zao!!Ni jamaa wa ajabu sana,yaani wana-bore stiff.Mtakumbuka siku ya MDAHALO WA JK vyombo vyombo vya habari vilivoalikwa ni pamoja na CLOUDS FM na Kibonde alikuwepo na aliuliza swali la kama kumjenga JK ingawa lilikosa majibu.

Wazungu wanasema ''Birds of the same feather flock together" yaani ndege wenye unyoya aina moja huruka pamoja.
 
Natabiri kuwa January Makamba will be among the young Ministers in serkali ya Kikwete bila uzoefu wowote na kama hatajirekebisha anaweza kuwa worse than Lau Masha kwa kudhulumu haki za Watz kupitia cheo alichonacho kama alivyokuwa akifanya wakati wa utumishi wake Ikulu. May be he will be the next Lau Masha.
God forbid,I beg, I beg!!!!!
 
Inasemakana kuwa Fisadi Kikwete anamuandaa January Makamba ( Mtoto wa Mzee wamipasho) kumpa uwaziri. Lakini bado haijafahamika vizuri kuwa atapewa wizara gani. 😛eep:
 
Waache wafanye hivyo,kuna mwingine kapewa dhamana lakini tulijua kaoza alipowaambia wa mama wa uwt wasiwape waume walsiokuwa ccm haki za ndoa.kenge akiwekwa na mamba utajamjua tu!kwa sabau wanalipana fadhila baadaye nguvu ya umma itaamua vizuri,kwani masha advocate yalikwendaje huko nyamagana?
 
Kwa CCM wala sishangai tutaendelea kuyasikia tu majina ya akina Mwinyi, Malima, Makamba, Karume. Ni mwendo wa kupokezana vijiti wao kwa wao. Kama vile watanzania waliobaki hawana akili
 
Kama kawaida yake, katibu mkuu wa CCM mzee Yusuf Makamba amewaacha hoi viongozi wengine wa ngazi za juu wa chama hicho baada ya kusema kwamba yeye hazai wala halei mtoto asiye na akili. Akatoa mfano wa kijana wake January ambaye hakuwa na mpinzani.

Mzee huyo aliendela kusema kwamba, atashangaa sana iwapo mwanae hatapewa uwaziri kwani kijani huyo alikosa mpinzani kutokana na uwezo wake. Wanajamvini, ni kweli uyu mzee anaitendea nchi haki kwa matamshi kama haya?

Kwanini mtoto wake lazima awe waziri?

mnashngaa nini wakati huyu ndo makamba mwenyewe? msishangae january kuwenda segerea siku moja. Kiherehere kama baba yake, ama kwenye nyani hazai mbwa
 
mnashngaa nini wakati huyu ndo makamba mwenyewe? msishangae january kuwenda segerea siku moja. Kiherehere kama baba yake, ama kwenye nyani hazai mbwa

kikwete alimkataa january baada ya kupata taarifa za kiiteligensia kumhusu january. baada ya hapo bifu zikaanza kati yake na jk, sasa hivi jananuary anafanya kampeni za chini kumchafua jk...huyu kijana ni hatari balaa
 
Mkuu, tafadhali nifahamishe kuhusu ufisadi huo. Sikupata bahati ya kuona ama kusoma kitu kama hicho. Ni hadithi toka kwa Mr 11 a.k.a Sugu kuhusiana na ufisadi wa January ikiwa pamoja na ushahidi wa kutosha?. Jamani mnyonge mnyongeni lakini haki yake mwachieni.

waziri, anjinyea sasa hivi ameshatukiwa, hata jk mwenyewe kashamshtukia
 
Kwani ina maana kuwa waziri ndio kuwa na akili? uwaziri ni appointment tu hausomewi, na kama mawaziri wana akili kuliko wasio mawaziri matatizo haya tuliyonayo tz kwa sasa yasingekuwepo. Kama alivyosema Socrates " I found that the men most in repute were all but the most foolish; and that some inferior men were really wiser and better"
 
Hii post imerudi vip tena. Kuna newz nyingi sana za current.
 
Hii post imerudi vip tena. Kuna newz nyingi sana za current.

Dada mtu ndio in charge wa PR wa January....
VHOUSE4.JPG


7818.jpg


166475_138713066189316_100001518700636_233851_7906334_n.jpg



waliosoma TWITTER FEEDS za MWAMVITA hawakuamini maneno anayoandika juu ya hii lawama

 
hakuna ubaya kwa baba kumwombea baraka sasa unataka mwanae awe mwizi ebo
vitu vingine siyo vya kulalamika jamani hata kama angesema anataka awe raisi kwani
kuna ubaya si ameshawahi kuwa msaidizi wa rais kikwete kuna ubaya gani
 
Back
Top Bottom