Its really discouraging to see Vijana humu JF wanampiga vijembe kijana mwenzao January Makamba na kuhoji uwezo wake kuwa waziri. Hakuna hoja hata moja yenye mashiko, badala yake zote ni chuki na fitina tupu. Suala la January kuwa na uwezo wa kuwa waziri ni la mjadala kweli? This guy is young, competent, exposed and educated, he is way over due for that post and yes he has to become a minister. Issue to discuss hapa may be, again, may be mzee makamba kulisemea hilo hadharani which still ni out of excitement ya mzazi kuona mwanae anafanikiwa akiwa bado hai, wewe hautaki kuwa katika nafasi hiyo i.e. kumuona mwanao anafanikiwa? suala la katibu mkuu wa ccm liwekeni pembeni kidogo, yule ni mzazi, january ni mwanae, usife moyo january, in no time wataona tu uwezo wako.