FIRST PRIORITY
Member
- Nov 5, 2010
- 11
- 0
Kikwete atakuwa anaipeleka nchi pabaya sana kama atafanya hivyo...anahitji watu wazoefu na wenye akili timamu kwenye baraza lake..... Ni wazi atazidi kuifanya ccm inuke kwa kumchagua huyo mtoto wa mlopokaji kuwa waziri wa chochote....
Awe makini sana jamaa ufahamu wake bado ni wa maziwa ya mama...lol
tafakari chukua hatua
Awe makini sana jamaa ufahamu wake bado ni wa maziwa ya mama...lol
tafakari chukua hatua