Makamba ataka mwanae amrithi Shelukindo...

Makamba ataka mwanae amrithi Shelukindo...

MtazamoWangu

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2009
Posts
313
Reaction score
7
Kuna tetesi kuwa Mh. Makamba amekuwa anampigia kampeni mwanae (January) za chinichini katika jimbo linaloshikiliwa na Mh. Shelukindo (Bumbuli).

Japo Shelukindo bado ana nia ya kuendelea kubakia na pia kukubalika katika jimbo lake lakini Makamba ameshaenda kuwaona wazee na kuwaomba wamsaidie kijana wake ...anayesubiriwa sasa ni kijana aende kujitambulisha jimboni. ...japo Makamba mwenyewe hakubaliki sana kwani alishawahi kugombea na kutoswa mara kadhaa lakini anaona kijana wake ana nafasi..

Mkisikia wabunge wanalalamikia faulo wanazofanyiwa majimboni ndio kama hizi ...lakini mbona mapema?
 
yaani huyo kijana wake hata kwenda yeye mwenyewe ameshindwa mpaka baba yake amuendee kwani anapeleka posa???kweli hii bora ibaki kuwa tetesi
 
..Shelukindo amefanya mambo gani makubwa huko Bumbuli?
 
Waache demokrasia ichukue mkondo wake mi nashangaa wabunge wanao sema wanachezewa rafu wanataka wawe wabunge milele?
 
Waache demokrasia ichukue mkondo wake mi nashangaa wabunge wanao sema wanachezewa rafu wanataka wawe wabunge milele?

Hapo mkubwa tuko pamoja kama rasta na msokoto!!!!!!
 
Hapo mkubwa tuko pamoja kama rasta na msokoto!!!!!!

Teh teh teh swadakta mkuu tuache demokrasia ifanye kazi wananiboa sana wabunge wanao jiona wao ndo wenye haki ya kugombea kila kipindi.
 
hilo swala dogo sana kwa ccm.hapo kinachofanywa shellukindo anendelea ubunge wake bumbuli na january anapewa ubunge wa viti maalum wamemaliza kazi.
 
yaani huyo kijana wake hata kwenda yeye mwenyewe ameshindwa mpaka baba yake amuendee kwani anapeleka posa???kweli hii bora ibaki kuwa tetesi

Sasa si baba ake kaenda kuongea nao kwanza? We hauoni hata maofisini kabla mtu hajaenda kuonana na mabosi wenyewe kuna kuwa na mtu ana tambus=lisha kabisa kuwa mtu fulani ana kuja na ana nia hii naomba mumsaidie?
 
Mh. Makamba amekuwa anampigia kampeni mwanae (January) za chinichini katika jimbo linaloshikiliwa na Mh. Shelukindo (Bumbuli).

Japo Shelukindo bado anania ya kuendelea kubakia na pia kukubalika katika jimbo lake lakini Makamba ameshaenda kuwaona wazee na kuwaomba wamsaidie kijana wake ...anayesubiriwa sasa ni kijana aende kujitambulisha jimboni. ...japo Makamba mwenyewe hakubaliki sana kwani alishawahi kugombea na kutoswa mara kadhaa lakini anaona kijana wake ana nafasi..

Mkisikia wabunge wanalalamikia faulo wanazofanyiwa majimboni ndio kama hizi ...lakini mbona mapema?

Haya mambo ya kila anayetaka kugombea anakwenda kwa wazee kutoa kahawa na kuwadanganya kwani wanaona wazee bado ndio wamestick kwenye mambo ya kizamani na hataki mabadiliko mbona hawaendi kwa vijana ambao ndio kundi kubwa la wapiga kura
 
Mimi naona yule binti wa Makamba - Mwamvita - naye anafaa sana kuwa mbunge (hasa akilinganishwa na yule mchemfu mama Ghasia aka ukosefu wa amani na utulivu).
 
Mh. Makamba amekuwa anampigia kampeni mwanae (January) za chinichini katika jimbo linaloshikiliwa na Mh. Shelukindo (Bumbuli).

Japo Shelukindo bado anania ya kuendelea kubakia na pia kukubalika katika jimbo lake lakini Makamba ameshaenda kuwaona wazee na kuwaomba wamsaidie kijana wake ...anayesubiriwa sasa ni kijana aende kujitambulisha jimboni. ...japo Makamba mwenyewe hakubaliki sana kwani alishawahi kugombea na kutoswa mara kadhaa lakini anaona kijana wake ana nafasi..

Mkisikia wabunge wanalalamikia faulo wanazofanyiwa majimboni ndio kama hizi ...lakini mbona mapema?

- Mkuu cheki tena source yako, maana anayetayarishwa ni yule mwanadada wa Vodacom ambaye hakosi picha yake Michuzi atleats kila wiki, I mean anayetayarishwa ni dada mtu na sio kaka, haya tulishayasema hapa JF longtime ago!

- Makamba aliharibu sana huko kwao, alipojaribu kumharibu Kigoda hakuna wa kumsikiliza tena huko maana alimuuudhi hata Muungwana on that, ambaye alimkaripia sana kwenye kikao cha CC Dodoma, kilichowaokoa wabunge wa Arusha "waliokamatwa na rushwa".

Respect.


Field Marshall Es!
 
Nadhani demokrasia itachukua mkondo wake...hiyo ndio siasa popote duniani!!
 
''Makamba ataka mwanae amrithi Shelukindo'' then what?

lengo lako ni nini mkuu sijaelewa bado!this is common kwa CCM!
 
..Shelukindo amefanya mambo gani makubwa huko Bumbuli?

Waacheni watu wa Bumbuli watoe maoni yao na wala tusiwatolee maoni. Kama hajafanya lolote wana Bumbuli ndio wataamua aidha kwa kura ya maoni au kwenye Uchaguzi mkuu kupitia maboksi ya KURA.

Anaweza akawa hajafanya lolote kwa Bumbuli lakini kuna kipindi alitunishiana misuli na serikali ya JK kuhusu mitambo ya dowans kununuliwa na serikali. Nafikiri tunajua kilichofuata......
 
maybe its about time Baraka aka Big Ron atakuja kujoin JF na kumetetea baba yake

au ataamua kumrithi baba yake lakini itabidi atueleze imekuwaje akazaa na dada yake?

ndio kampeni zenyewe hizo na hasa ukishakuwa public figure

Opps1 nimesahau kuwa Baraka hajaamua kuwa ni raia wa nchi gani maana ana passport ya Tanzania na Uingereza kama Nambua Mlaki

hivyo on that basis Baraka should be out...

now back to Shelukindo mwenyewe inabidi atueleze kama mtunga sheria wetu inakuwaje wanae wana passports mbili mbili?

Mimi nilipita kule na kuzungumza na wazee the word on the ground kuwa watu washamchoka huyo mbunge wao na sasa hivi anatafuta visingizio . Nakumbuka last time kasema hagombei and when he went to run in 1995 alikuwa ndio amestaafu serikalini. Sasa he wants to be an MP for 20 more years!!!

that makes everybody kule Bumbuli sick na kumbukeni wabunge dizaini hii wako wengi tuuu huko CCM

sasa anaanza ku pre-empt kuwa anavamiwa huku kasahau kuwa wan Bumbuli si wajinga kama navyofikiria
 
Last edited:
Taji Liundi na Mwamvita Makamba wameowana ama ni mikasi tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom