Buricheka
Member
- Aug 18, 2009
- 66
- 2
Mkuu,
kisukuma ni kibantu... au sio?
Kisukuma ni lugha iliyotoka kwenye lugha iliyokuwa inaitwa Kibantu.
Neno lolote lile la Kibantu, kama vile Mwanawane, mzizi wake ni Kibantu, sio Kisukuma, au Kihaya au Kifipa.
Wafipa, kwa mfano, asili ya lugha yao ni Kibantu. Kama Wasukuma. Lakini Kifipa sio sawa na Kibantu, na Kisukuma sio sawa na Kibantu, ndio maana Mfipa na Msukuma hawazungumzi lugha moja.
Mwanawane asili yake ni Kibantu.