Makamba aingizwa mjini

Asha Abdala

JF-Expert Member
Mar 21, 2007
1,130
44
Makamba aingizwa mjini CCM Tanga

Na Maingwa Mohamedi, Tanga

 
Mgosi ! Kupenda sifa za mtindo wa kizamani zamani kunamshushia heshima sana. Hivi sasa anaonekana mwigizaji kama PWAGU.
 
Nashangaa kwamba ndo wanastuka leo??
Mbona hii biashra ya kupokea wanachama hewa ipo siku zote??, tukianzia kule kigoma, tuli ijadili sana hapa, hata hii ya Jk aliyo lishwa kasa kwamba kapokea wanachama 40 wakiwakilisha wenzao 1000?

Lakini yote haya ni malezi na makuzi mazuri ya CCM ya kupika taarifa!
 
Hii ni kasumba mbaya sana- wanaanza na wanachama hewa then ukifika wakati wa uchaguzi watakuja na wapiga kura hewa na matokeo yake tunayaona Kenya sasa.
 
It’s time Tanzanians we come to terms with harsh reality triggered by opposition parties. What made them fool their team leaders? I bet it’s kinda enforcement to get a little something!
 
This is terrible, wanachama hewa, wapiga kura hewa, kura hewa, matokeo hewa, ahadi hewa, utendaji hewa, every thing is hewa. Hii hewa itatuacha pabaya kama ilivyo kenya, msijefikiria hili linaishia kwenye wanachama tu, is a long thread.
 
This is terrible, wanachama hewa, wapiga kura hewa, kura hewa, matokeo hewa, ahadi hewa, utendaji hewa, every thing is hewa. Hii hewa itatuacha pabaya kama ilivyo kenya, msijefikiria hili linaishia kwenye wanachama tu, is a long thread.
Waliucheza mchezo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…