spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,350
- 22,348
To me sitakaa niwasupport hao watu nitaandamana siku maslahi yangu yakiguswa directly ila mambo ya kwenda kupambania watu waende white house siwezi fanyaHuko siyo kujificha mkuu. Huko ni kujipanga kwa mapambano ya muda mrefu.
Tofautisha kutokuogopa kifo na kukikimbilia au kukitafuta kifo.