Makamanda Polisi Mikoa Arusha na Mbeya wateremshwa vyeo

Ni kweli wanausalama wengi wa ngazi za chini wanahitaji mabadiliko kwani kinachowasibu ni sawa na kinachowapata wananchi wengi wenye maisha ya chini. Ni vema viongozi hao wa majeshi yetu kuwa makini kwani iko siku hata hao vijana wao watageuka na kujiunga na umma.
 
Jamani nauliza hivi Kamanda Laurian Tibasana yupo wapi? Kwani toka mwaka 2006 kikwete alipolifumua jeshi la polisi na kumpeleka Adadi Rajabu kuwa Balozi kamanda Tibasana hakusikika tena
 
Unajua wewe ni mbishi kuelewa falsafa hii, mbona iko wazi " demotion by promotion" wewe unajiona umepandishwa cheo lakini hata ukilala ukianza kutafakari eneo ulilopelekwa hakuna issue. Kwanza vyeo walivyokua navyo viliwafanya wajulikane sana na hali ya watanzania walikua wakiogopwa sana. Sasa huku walikopelekwa saa ngapi watajulikana. nani atawaogopa. Sanasana watakachokutana nacho ni shikamoo nyingi tu. Nakwataarifa yako wengi kati yao watakimbia tu.
Staki kubishana na wewe.


Ni upumbavu kutumia "falsafa" sehemu ambapo sipo.....umeitumia pasipo......kwa sababu hujui majukumu aliyopewa sasa hivi ndio maana unatumia misemo kimakosa..........kama ungejua wala usingeandika huu upuuzi "Makamanda Polisi Mikoa Arusha na Mbeya wateremshwa vyeo"...and the likes of "demotion by promotion".......
 
Ndugu Candid Scope naomba na mimi kabla sijaanza kuporomosha matusi unijuze what u really mean by 'demotion by promotion'..maana nimeitafuta hii philosophy ata kwenye google nimekosa! tuelimishane tafadhali...

Ni jambo la kawaida katika utawala na uongozi kama anafanya yale ambayo hayakubaliki kitaaluma au kiutendaji, na pengine kupitiliza yanayotarajiwa, na kwa kuwa dhana ya kulindana na kuheshimiana ikipewa nafasi, basi mtu yule anapandishwa daraja au kupewa wajibu mwingine unaoonekana kuwa wa juu zaidi kuliko aliokuwa nao, lakini lengo ni kumwondoa katika nafasi aliyo nayo na hufanyika hivyo ili asijisikie vibaya.

Jambo kama hilo ni la kawaida katika nyanja mbalimbali za uongozi katika mashirika na taasisi za kiserikali na kidini. Sihitaji kutoa mifano hapa nachelea kumwaga mtama kwenye kuku wengi.
 
Jamani nauliza hivi Kamanda Laurian Tibasana yupo wapi? Kwani toka mwaka 2006 kikwete alipolifumua jeshi la polisi na kumpeleka Adadi Rajabu kuwa Balozi kamanda Tibasana hakusikika tena

Kama sikosei alikuwa kwenye list ya Makamanda waliokuwa wanatuhumiwa kwa kujihusisha na uhalifu wa kutumia silaha miongoni mwao akiwemo Mahita na Chiku
 
Ni jambo la kawaida katika utawala na uongozi kama anafanya yale ambayo hayakubaliki kitaaluma au kiutendaji, na pengine kupitiliza yanayotarajiwa, na kwa kuwa dhana ya kulindana na kuheshimiana ikipewa nafasi, basi mtu yule anapandishwa daraja au kupewa wajibu mwingine unaoonekana kuwa wa juu zaidi kuliko aliokuwa nao, lakini lengo ni kumwondoa katika nafasi aliyo nayo na hufanyika hivyo ili asijisikie vibaya.

Jambo kama hilo ni la kawaida katika nyanja mbalimbali za uongozi katika mashirika na taasisi za kiserikali na kidini. Sihitaji kutoa mifano hapa nachelea kumwaga mtama kwenye kuku wengi.

Kinadharia anaonekana kama kapanda cheo, lakini kiuhalisia amenyang'anywa maamuzi, pamoja na ulaji.
Yaani ni sawa na Mkurugenzi wa Halmashauri au Manispaa akipandishwa cheo kwenda Mkoani hapo umemuua kabisa
 
Kinadharia anaonekana kama kapanda cheo, lakini kiuhalisia amenyang'anywa maamuzi, pamoja na ulaji.
Yaani ni sawa na Mkurugenzi wa Halmashauri au Manispaa akipandishwa cheo kwenda Mkoani hapo umemuua kabisa

Kuna ukweli kiasi fulani,mfano ni wa kamanda Mohamed Chiko aliyekuwa
mkuu wa polisi Kilimanjaro baada ya Kamanda kuingia madarakani alimrudisha
hapa makao makuu ya polisi bench in any case.anariport na kuingia mitaani mkuu.
 
Kinadharia anaonekana kama kapanda cheo, lakini kiuhalisia amenyang'anywa maamuzi, pamoja na ulaji.
Yaani ni sawa na Mkurugenzi wa Halmashauri au Manispaa akipandishwa cheo kwenda Mkoani hapo umemuua kabisa
Mungi watu hawataki kwenda Dar es Salaam makao makuu! Huko kila mtu ni mkubwa. Wewe kwa mfano utoke kuwa RPC mwanza (yaani IGP wa Mwanza) halafu uhamishiwe sijui kuwa mkuu wa kitengo makao makuu! Nani anataka hiyo ukiamka IGP huyu hapa, ukigeuka DCI huyu hujakaa sawa Waziri huyu kabla hujajipanga sijui Mkurugenzi gani huyu; nani anataka hiyo?

Ukiwa mkoani wewe na mkuu wa mkoa tu basi hakuna kingine. Budget ya mkoa yako kama mkoa una madini kesi zinaanzia kwako na makandokando mengine kibaaaao.
 
Last edited by a moderator:
Mungi watu hawataki kwenda Dar es Salaam makao makuu! Huko kila mtu ni mkubwa. Wewe kwa mfano utoke kuwa RPC mwanza (yaani IGP wa Mwanza) halafu uhamishiwe sijui kuwa mkuu wa kitengo makao makuu! Nani anataka hiyo ukiamka IGP huyu hapa, ukigeuka DCI huyu hujakaa sawa Waziri huyu kabla hujajipanga sijui Mkurugenzi gani huyu; nani anataka hiyo?

Ukiwa mkoani wewe na mkuu wa mkoa tu basi hakuna kingine. Budget ya mkoa yako kama mkoa una madini kesi zinaanzia kwako na makandokando mengine kibaaaao.

Si hivyo tu mkuu. RPC kwenye mkoa wake anafaida kubwa sana. mojawapo ni kwamba majambazi wote wanakuwa wapo chini yake, wote wanaripoti kwake, mgawo anapata, na wengine wanakodi silaha kutoka kwake zinatumika kufanya uhalifu. sasa huko makao makuu madili kama haya utayapata wapi!
Madili mengine kwa mfano Namanga, mzigo ukifika Central rushwa anapewea jamaa, makao makuu utapata wapi madili?
Kupelekwa makao makuu ni sawa na kushushwa cheo tu.
 
mwema ana staafu rasmi mwakani na amesema hataki kuongeza mkataba kwani mara nyingi huwa ma IGP wana staafu pamoja na rais,ili rais ajaye aje na safu yake mpya ya uongozi,hataki kuongeza hata sekunde moja! Naona anakimbia mziki wa 2015!
 
We si kiwango changu, unaposhindwa kutafsiri falsafa ya "demotion by promotion" umeamua kutelemsha matusi kama hayo, kwa kawaida anayekasirika na kuanza kumtukana mtu ni yule ambaye hutumia hoja ya nguvu badala ya nguvu ya hoja. Pole sana, hiyo ndiyo hali halisi ukubali au usikubali ukweli ndio huo.

Waliotuliza bongo hapa Jamii forums hushindana kwa hoja, hoja ikikushinda bora kusepa kuliko kuanza kulipuka kwa matusi kama ufanyavyo.

Kwa sababu huelewi neno "upumbavu".........ni upumbavu kujifanya unajua huku hujui kuwa hujui......thats all!......hakuna cha matusi hapa.......
 
Unajua wewe ni mbishi kuelewa falsafa hii, mbona iko wazi " demotion by promotion" wewe unajiona umepandishwa cheo lakini hata ukilala ukianza kutafakari eneo ulilopelekwa hakuna issue. Kwanza vyeo walivyokua navyo viliwafanya wajulikane sana na hali ya watanzania walikua wakiogopwa sana. Sasa huku walikopelekwa saa ngapi watajulikana. nani atawaogopa. Sanasana watakachokutana nacho ni shikamoo nyingi tu. Nakwataarifa yako wengi kati yao watakimbia tu.
Staki kubishana na wewe.
cray........hapa hakuna ubishi Mkuu.....hapa ni elimu kwa kwenda mbele......ukiingiza ushabiki/ubishi utakuwa huelimiki kwenye haya masuala ambayo ni basic.......na hasa kwenye hili la uteuzi mpya wa makamanda wa mapolisi........just open your mind and learn!....usifuate mambo ya mikumbo ya ushabiki na kwamba eti ulisikia.......pia.......isome vizuri hiyo falsafa na unatakiwa uelewe hawa watu walipopelekwa/walipohamishiwa na kujua wanachoenda kukifanya.......then use your intelligence to judge/determine........

Unatakiwa pia usome kichwa cha mada uone kama kinaleta any sense.......I'm sorry kwa Mkuu Candid Scope kwa kuingia kichwa kichwa na kutumia "falsafa" isiyo refelct kile alichokusudia...........
 
Last edited by a moderator:
Ni jambo la kawaida katika utawala na uongozi kama anafanya yale ambayo hayakubaliki kitaaluma au kiutendaji, na pengine kupitiliza yanayotarajiwa, na kwa kuwa dhana ya kulindana na kuheshimiana ikipewa nafasi, basi mtu yule anapandishwa daraja au kupewa wajibu mwingine unaoonekana kuwa wa juu zaidi kuliko aliokuwa nao, lakini lengo ni kumwondoa katika nafasi aliyo nayo na hufanyika hivyo ili asijisikie vibaya.

Jambo kama hilo ni la kawaida katika nyanja mbalimbali za uongozi katika mashirika na taasisi za kiserikali na kidini. Sihitaji kutoa mifano hapa nachelea kumwaga mtama kwenye kuku wengi.

Dead wrong!......acha kudanganya wewe......thats too low from you Mkuu.........hiyo tafsiri yako hai-apply at least katika mabadiliko haya.......huwezi kuwapandisha madaraka na vyeo watu watatu (mmoja kwenda level ya DCP na wengine to RPC level) kutoka kituo kimoja cha kazi eti kwa yale yasiyokubalika kiutendaji au kitaaluma kwa kutumia "falsafa" unayoing'ng'ania na isiyo-relevant.....labda kama huelewe muundo wa Jeshi la Polisi......IGP Mwema sio mjinga...........
 
Back
Top Bottom