Makamanda nguvu zimewaishia kabisa

Makamanda nguvu zimewaishia kabisa

waliojitokeza kipindi cha kampeni kusikiliza sera za chama pendwa na ni wanachama waaminifu ndio idadi ilioyowapa ndio iliojitokeza na kupiga kura sio zile photoshop!
Idadi ya wapiga kura haihesabiwi jukwaani hebu fuatilia taarifa ya tume ni % ngap walio jitokeza kupiga kura ikilinganishwa na idadi ya walio jisajili kupiga kura!! Ni ja,bo la aibu hili % haifiki hata nusu
 
Yaani mkiambiwa mlipe kodi,muwajibike maofisini kuwahudumia wananchi kwa wakati,kuwakamata wala rushwa ndio kuwatia hofu wananchi!

Mkuu naona hunielewi, tunataka mtu anayesimamia hayo mambo kwa ukali na sio kwa jazba. Ukisimamia jambo kwa ukali utapata ufanisi, ila ukisimamia jambo kwa jazba utaambulia mafanikio duni. Hofu, kujipendekeza nk sio vigezo vya utendaji bora. Ukitaka kujua kwamba unafiki na woga umeingia nchini angalia sasa hivi imekuwa fashion, kila kiongozi akiongea lazima amtaje Magufuli mara nyingi kuliko hata ujumbe anaotaka ufike kwa umma. Umewahi kumsikia Makonda akihutubia? Umewahi kumuona Ndugai jinsi anavyojichekesha anapokuwa mbele ya rais?

Sasa hivi hata kama rais akija na wazo bovu kila mmoja anayemzunguka analiunga mkono ili aonekane yuko sawa na mawazo ya rais. Kila kiongozi anajifanya kuiga swaga za Magufuli hata kama hakukuhitajika lugha za kukaripia. Huo ni ujinga wa hali ya juu. Mfano mrahisi juzi kwenye uchaguzi wa ccm kumchagua mwenyekiti, Magufuli alichaguliwa wa 100%. Haijapita muda Nyalandu anatoka ccm anasema watu hawana uwezo wa kukosoa na demokrasia inaminywa, je alimpaje kura, ni kweli alipata kura kiasi hicho? Hiyo ni ishara anaongoza watu waliojaa hofu na hofu hiyo anataka ienee nchi nzima.
 
Hahahaaaa vibaka siku hizi wanavamiambele polisi aisee kweli jeshi letu sasa hivi basi limejichokea yaani vibaka wanakuja na askari yupo !? Hadi anaondoka polisi ana mtizama tuuu!! Uzuri nlikuwepo eneo la tukio kadanganye wehu wenzio huko mnashangilia ushindi ambao hakuna uliye shindana naye, ushind wa panga,,kweli mpo mahututi.
Poleni makamanda tukune singida mashariki likizo ya midomo itakua imekwisha baada ya hapo uhuni wenu tutausikia tena 2020 vibaka nyie!
 
Mkuu naona hunielewi, tunataka mtu anayesimamia hayo mambo kwa ukali na sio kwa jazba. Ukisimamia jambo kwa ukali utapata ufanisi, ila ukisimamia jambo kwa jazba utaambulia mafanikio duni. Hofu, kujipendekeza nk sio vigezo vya utendaji bora. Ukitaka kujua kwamba unafiki na woga umeingia nchini angalia sasa hivi imekuwa fashion, kila kiongozi akiongea lazima amtaje Magufuli mara nyingi kuliko hata ujumbe anaotaka ufike kwa umma. Umewahi kumsikia Makonda akihutubia? Umewahi kumuona Ndugai jinsi anavyojichekesha anapokuwa mbele ya rais?

Sasa hivi hata kama rais akija na wazo bovu kila mmoja anayemzunguka analiunga mkono ili aonekane yuko sawa na mawazo ya rais. Kila kiongozi anajifanya kuiga swaga za Magufuli hata kama hakukuhitajika lugha za kukaripia. Huo ni ujinga wa hali ya juu. Mfano mrahisi juzi kwenye uchaguzi wa ccm kumchagua mwenyekiti, Magufuli alichaguliwa wa 100%. Haijapita muda Nyalandu anatoka ccm anasema watu hawana uwezo wa kukosoa na demokrasia inaminywa, je alimpaje kura, ni kweli alipata kura kiasi hicho? Hiyo ni ishara anaongoza watu waliojaa hofu na hofu hiyo anataka ienee nchi nzima.
Mkuu nyalandu mirija imebanwa ujangili wake ulikua upo ukingoni hamkumuelewa nyalandu ni kuwa ile kinga ya wahalifu ccm ya magufuli na serikali sasa haipo lazima asingizie mengine cha kushukuru ameruka na ndege wanaefanana na nyalandu!
 
Mkuu nyalandu mirija imebanwa ujangili wake ulikua upo ukingoni hamkumuelewa nyalandu ni kuwa ile kinga ya wahalifu ccm ya magufuli na serikali sasa haipo lazima asingizie mengine cha kushukuru ameruka na ndege wanaefanana na nyalandu!

Hilo la kwamba Nyalandu kabanwa huko ccm wala halina mjadala. Lakini haliondoi ukweli wa hayo aliyoyasema. Mbona tunakubali Masha kaondoka cdm kwa kukosa fursa na mirija yake kukatwa huko serekalini kwa tender alizopata kwa kuwa mwanaccm, ila wakati anaondoka kakilaumu cdm kuwa sababu ya kuondoka kwake. Kuna mapungufu kweli yako ndani ya cdm na yeye akayatumia hayo hayo kama kisingizio cha ya yeye kuondoka? Kuna Katambi na Kafulila wote wamepata sababu za kuwaondoa kuelekea ccm, lakini ukweli ccm wamefuata fursa japo haiondoi ukweli wa mapungufu waliyosema kuhusu cdm.
 
Kupata kata moja ni moja ya matokeo mabaya sana,safari hii hatukusia Ukawa,mtatiro na mama Tanzania wote chali
 
Mlikopata kata moja ni zambia na hamkupambana na ccm!
Eh? Wana kata moja Zambia? Hii INAPENDEZA sana.

Lakini waoneeni huruma CDM kwa heshima ya wapiganaji, kama mkuu Mystery.

Makosa ya kuiporomosha CDM sio ya makamanda, ni makosa ya wakulu. Na hakuna kata mkulu mmoja wa CDM aliepata ngeu safari hii. Inakuwaje?
 
Hatuwezi ishiwa Nguvu.
Sababu mpinzani wetu anatumia meno ulingoni.
 
Hilo la kwamba Nyalandu kabanwa huko ccm wala halina mjadala. Lakini haliondoi ukweli wa hayo aliyoyasema. Mbona tunakubali Masha kaondoka cdm kwa kukosa fursa na mirija yake kukatwa huko serekalini kwa tender alizopata kwa kuwa mwanaccm, ila wakati anaondoka kakilaumu cdm kuwa sababu ya kuondoka kwake. Kuna mapungufu kweli yako ndani ya cdm na yeye akayatumia hayo hayo kama kisingizio cha ya yeye kuondoka? Kuna Katambi na Kafulila wote wamepata sababu za kuwaondoa kuelekea ccm, lakini ukweli ccm wamefuata fursa japo haiondoi ukweli wa mapungufu waliyosema kuhusu cdm.
Mkuu nyalandu asikusumbue kabsa tunauzoefu na aina ya wanasiasa hawa!
 
Poleni makamanda tukune singida mashariki likizo ya midomo itakua imekwisha baada ya hapo uhuni wenu tutausikia tena 2020 vibaka nyie!
Muhuni nani asiye taka ishidani huru au anaye taka ushindani huru, maana waongo na wahun mmejazana huko ccm mnao kodi wanywa gongo kuvamia mikutano ya wapinzan usjisahaulize kuwa hujui muhuni ninan nchi hii, CCM ni wahuni mmelelewa katika misingi ya uongo si wanawake si wanaume .
 
Aah ah aha haa mnanunua sare za ccm na kutaka kutuaminisha mipango yenu mnayoicheza mmeshtukiwa
 
bila dola na kubebwa na wakurugenzi walioteuliwa na mwenyekiti wa ccm taifa. ccm ni nyepesi kama pamba....
 
Back
Top Bottom