unakuta binti ana tako hapa na kibaha
Mkuu mimi nipo KIBAHA hapa, Maili Moja!
Tumechoka kusoma post za kipuuzi. Ningekuwa moderator ningekulamba ban ya maisha. Kama huna topiki ya maana, tulia kimya. Enough is enough.
Kwikwi kwi kwi,Mkuu mwenzio hata chai bado!
Kwikwi kwi kwi,
Nawashangaa mnajadili kwa maneno matupu. Hata walimu wanashauriwa kutumia Teaching Aid ili wanafunzi waelewe vizuri.
evolution..