Makalio wanawake siku hizi mnayatoa wapi?

Makalio wanawake siku hizi mnayatoa wapi?

Kwikwi kwi kwi,
Nawashangaa mnajadili kwa maneno matupu. Hata walimu wanashauriwa kutumia Teaching Aid ili wanafunzi waelewe vizuri.

Dah mkuu.. Unamaliza kabisa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Yani mtu anachohisi yeye anataka kikamate akili za wote.
 
Makalio yalikuwepo tangu enzi sema wao walikuwa wanayastiri kwenye magauni na gagulo ndani ila wa siku hizi wanapiga kitu kime-tight kiasi kwamba lazima lionekane, ukitaka kuligundua hilo hao hao wanaonekana na makalio ya haja wavae gauni utaona though wachache hata akivaa gauni utagundua tu amejaaliwa kuwa na makalio
 
Makalio yalikuwepo tangu enzi sema wao walikuwa wanayastiri kwenye magauni na gagulo ndani ila wa siku hizi wanapiga kitu kime-tight kiasi kwamba lazima lionekane, ukitaka kuligundua hilo hao hao wanaonekana na makalio ya haja wavae gauni utaona though wachache hata akivaa gauni utagundua tu amejaaliwa kuwa na makalio

Kuna hawa wanaovaa jarabibi laini. akyanani wamefungashia vibayaaaaa
 
mbona kama hapo kwa wachaga umeshtuka!!!
au ni.ajabu kumuona mchaga anamakalio makubwa!!?
 
Umangi meza! Utawala mezani km hivyo nipitie kwa meneja nikitoka mara promota nikitoka mara kamwone Secretary akupe appointment inshot ni bureaucracy au urasimu...! Hapa shida ni kwamba kuna gharama nyingi na ucheleweshaji wa maendeleo.

nimeipenda hii...!!!!
tehe tehe
 
Back
Top Bottom