Gwangambo
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 3,637
- 1,208
masai dada, umeona eeeh! jamaa katupia makavu live bilan tasfida, alafu MODS wanaona poa tu, au wamelewa na wameshalala...!daah mkuu ulivyolitamka
eti MATTAKOO
masai dada, umeona eeeh! jamaa katupia makavu live bilan tasfida, alafu MODS wanaona poa tu, au wamelewa na wameshalala...!daah mkuu ulivyolitamka
eti MATTAKOO
Kumbe na wewe mtundu!
Kwani Yanakusumbua nini??Au Na Ww Unayataka
Hebu Cheki Hapo Kama Nawe Unalokwaiyo izo vitu vinavimbisha makalio tu?
Habari waungwana,
niende moja kwa moja kwenye point, zamani kidogo wanawake wengi walikua na matako (makalio) ya kawaida but siku za hivi karibuni kila mwanamke ana mkia kama wasemavyo vijana wa kileo.
Enzi zetu ukikutana na mwanamke kabla ya kuongea nae, kwa kumwangalia umbo unajua mchaga, mgogo, mnyakyusa au mhaya. Maajabu siku hizi kila mtu ana makalio hatari kama mkia wa kondoo mpaka Wachaga!
Hivi siri ya haya matako ni nini?
Au ndo kasi ya mtandao pendwa wa /
Wengi huwa wanavaa tyts zenye sponge
unakuta binti ana tako hapa na kibaha