Makalio wanawake siku hizi mnayatoa wapi?

Makalio wanawake siku hizi mnayatoa wapi?

Tumechoka kusoma post za kipuuzi. Ningekuwa moderator ningekulamba ban ya maisha. Kama huna topiki ya maana, tulia kimya. Enough is enough.


Mkuu tukiwa kama wanadamu hatuna budi kuvumiliana...maana tumetofautiana vitu vingi...
 
Matako yalikuweko siku nyingi tu mbona nasikia zamani kulikuwa na neno "kishtobe" halafu likaja "wowowo" hii ni kabla ya Mchina kuzuka nchini.
 
Naona ni mbinu mpya ya kuongeza mvuto ili tuwapende zaidi
 

Attachments

  • image124.jpg
    image124.jpg
    26.1 KB · Views: 1,232
umetumia misamiati migumu sana

Umangi meza! Utawala mezani km hivyo nipitie kwa meneja nikitoka mara promota nikitoka mara kamwone Secretary akupe appointment inshot ni bureaucracy au urasimu...! Hapa shida ni kwamba kuna gharama nyingi na ucheleweshaji wa maendeleo.
 
Kwani Yanakusumbua nini??Au Na Ww Unayataka
 
Nguo nyingi zinawa"shape". Wanawake wengi wa kileo wanatumia vidonge vya uzazi wa mpango. Dhana iliyojengeka kwa siku za hivi karibuni kuwa matako ndio mpago mzima tofauti na wakati "Anko" anaanzisha lile shindano na kuwafanya wengi wapende "kumenteini"
 
Back
Top Bottom