Makaburi saba yakutwa ndani ya Kanisa Huko Tarime

Makaburi saba yakutwa ndani ya Kanisa Huko Tarime

Kichwa cha habari kilipaswa kuwa MUMMY WAIBUKIA MARA .MAKABULI SABA YAFUKULIWA NDANI YA KANISA MOJA .

WA bongo na mafanikio NI mbalimbali tukio linge tokea misri au Ethiopia apo ingekuwa fursa Kwa watalii
 
Hao watakuwa manabii wakikurya walikuwa miaka hiyo BC, ilitabiliwa kwenye biblia ya kikurya.

ndani ya mitaa ya Benghazi Libya.
 
Akina setfree waje hpa kutoa maono yao 😁😁c maoni ni maonooo
 
Nisubiri wenye dini yao waseme kulikoni huko
Watu waliopotea labda

Sisi huwa tunatabiri kabla ya majibu ya polisi wala wahusika
 
Back
Top Bottom