JOHNGERVAS
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 1,449
- 2,496
Ni jambo la Kustaajabisha na ni halisi kabisa limetokea Huko Mkoani Mra wilaya ya Tarime ambapo inadaiwa makaburi saba yamekutwa Kanisani Humo
Hadi sasa Hijafahamika wazi ni nani aliyachimba na yalitumika Vipi
Taarifa kamili hii hapa
View: https://youtu.be/tKE8-hIRyBk?si=W57s4O3HXa2DRc83
Hadi sasa Hijafahamika wazi ni nani aliyachimba na yalitumika Vipi
Taarifa kamili hii hapa
View: https://youtu.be/tKE8-hIRyBk?si=W57s4O3HXa2DRc83