afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Pia Wasukuma wanapenda kuoa Wachagga ndio maana INAWEZEKANA.
Hahahahahaha nimekusoma Lizzy Luu ..
Pia Wasukuma wanapenda kuoa Wachagga ndio maana INAWEZEKANA.
Habari za kwamba hawajui kuacha wanawake ni uongo ulio uchi!
Tukichukulia wale wa asili (wafugaji/wakulima walioko vijijini), ni kweli coz mke ni katreka kamoja, akiongeza mwingine nguvu inaongezeka lkn lingine la muhimu watoto wanaongezeka, wakiume watachunga na kulima, wa kike wataongeza Mifugo kutokana na mahari!
So kuacha kwao, haipo na mara nyingi mke mkubwa anakuwa respected sana.
Sasa na hao wakimjini mjini, wanaoa kweli (Mke mkubwa anakuwa respected na taken care of; lkn mtaani anaweza akawa nao hata 3 akiwatunza vizuri na kila mtu akajiona yeye ni yeye tu!
Jamani acheni hizi stereotypes zisizo na kichwa wala miguu.
Hivi kweli mnataka kuniambia Wasukuma ndiyo wanaongoza kwa kuwa na nyumba ndogo? Kuna kabila kweli linaloongoza kwenye hayo mambo ya uzinzi na uzinifu?
kakuambia nani amefanya risechi mkuu, huyu mbona kajiandikia tu.Kumuona Kanumba basi unajidai unawajua wasukuma wote.
Mwanamme wa kisukuma hajibizani na mwanamke hata siku moja, wana knguvu mno kukaa wanahangaishana na wanawake.
Kafanye risechi yako upya.
kumbeeee..... ngoja nitafute msukuma
ila aweze kuongea kiswahili vizuri
Hahahahahaha nimekusoma Lizzy Luu ..
Vijana wa Kisukuma ni wazuri sana sura + umbo. Yaani unamwangalia tu nakuridhika ...
kiswahili msukuma! ngumu sana si unaona mtani wangu kanumba kaondoka duniani na kiswahili kile kile cha nyumbani,yupo msukuma mmoja tu TANZANIA anaeongea kiswahili fasaha huyu ni Mh.JOHN MAGALE SHIBUDA huyu huwezi jua kama ni msukuma unaweza dhani ni mtu wa Tanga au Zenj,Mtani wangu mungine mtoto wa DANDU COOL JAMES aliondoka pia hajui kiswahili fasaha kwa maana ya lafudhi licha ya kukulia ulaya bado lafudhi ilibaki ya kisukuma kama kanumba
Wasukuma hawajui kuacha mwanamke! Ebu kaamuulize mama Kanumba kilitokea nini?
Alisema mwenyewe alikimbiwa na mama Kanumba na wala si yeye alomwacha. Lol.
How do you mean????