Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,886
- 1,194
Smile usipatage shida, mimi nimeshakuchagulaga tayari.kumbeeee..... ngoja nitafute msukuma
ila aweze kuongea kiswahili vizuri
Smile usipatage shida, mimi nimeshakuchagulaga tayari.kumbeeee..... ngoja nitafute msukuma
ila aweze kuongea kiswahili vizuri
yeee......kwa kweli ddadda limoyo langu limekudondokea nataka tupambanishe majifua.
hahahahaha... jf bana.
ila mlete mada hajatutendea haki wasukuma..
Embu fafanua Konnie. . . .
Kama vipi nimpotezee yule wangu.
Utafiti wako unaweza kuwa na ka ukweli fulani, ila kwa wanaume wa Kisukuma, atakuvumilia na yote lakini sahau kuwa peke yako, mhali/kupalika=polygamy
kumbeeee..... ngoja nitafute msukuma
ila aweze kuongea kiswahili vizuri
limoyo langu limekudondokea kongosho.
Kwa mda mrefu nimekuwa nikiwatafakari kaka zangu wakisukuma, haswa walio kulia vijijini na sasa wapo mjini na pia mambo yao ni mazuri kwa kulingana na backgroung zao, kitu kimojaninachongundua wanashoboka sana na wadada haswa ambao wanaonyesha kuwa wa matawi ya juu au majina makubwa mjini ( sitaki kutolea mifano ya kaka zangu marehemu wa kisukumawaliokuwa na majina na wamefia kwa sababu ya wanawake)
Anaweza kuwa anajua tabia mbaya za mdada lkn yupo tu, ilimradi inampa sifa mbele ya wenzake kuwa na huyo mdada, itakama kwenye hayo mahusiano hayampi furaha ila sifa
Na mbaya zaidi wanaishia kuoana au kusogezana ndani... matokeo yake wanakuwa ni wanyoge sana kwenye ndoa maana wao ni wavumilivu na hawaachi bali wanaachwa.
Mara nyingi kitu ambacho huwa najiambia ni kwamba the wife has given him a favour to be with her.
Kwa mda mrefu nimekuwa nikiwatafakari kaka zangu wakisukuma, haswa walio kulia vijijini na sasa wapo mjini na pia mambo yao ni mazuri kwa kulingana na backgroung zao, kitu kimojaninachongundua wanashoboka sana na wadada haswa ambao wanaonyesha kuwa wa matawi ya juu au majina makubwa mjini ( sitaki kutolea mifano ya kaka zangu marehemu wa kisukumawaliokuwa na majina na wamefia kwa sababu ya wanawake)
Anaweza kuwa anajua tabia mbaya za mdada lkn yupo tu, ilimradi inampa sifa mbele ya wenzake kuwa na huyo mdada, itakama kwenye hayo mahusiano hayampi furaha ila sifa
Na mbaya zaidi wanaishia kuoana au kusogezana ndani... matokeo yake wanakuwa ni wanyoge sana kwenye ndoa maana wao ni wavumilivu na hawaachi bali wanaachwa.
Mara nyingi kitu ambacho huwa najiambia ni kwamba the wife has given him a favour to be with her.
Si unaona walivyo giant?
Hawawezi sumbuka kugombana na mwanamke
Atakutizama unapiga kelele tu.
Hawasumbui wake zao
Na wachache sana wanaokuwa irresponsible.
Kwahiyo kumbe ni hawasumbuki kugombana nao, nilidhani ni hawasumbuki nao. . .wanakimbilia kwingine.
Ila huyu nampotezea. . .nitafutie mwingine basi. . ?
kwa nini??
Umeogopa tindikali??
Hahahahahaha. . .we unataka nisubiri mpaka resepsheni iharibiwe?
............unatoka kiulaiiini unaenda kuvuta chuma kingine, bila kuleta mgogoro na mwanamke mwenye ngega aka pagu