Makabila yetu: Vijana na wanawake wa Kisukuma

Habari za leo wapendwa. Mwenzenu natafuta mchumba ili nioe ila nataka kujua Tabia za wanawake wa KISUKUMA.

Mimi mwenyewe ni mzaramo wa Chamazi
 
ni wakarimu na wanawaheshimu wanaume hata kama akiwa ni mtoto wa kiume mwenye umri wa siku moja atamweshimu utazani ni mzee wa miaka 100, hapo ndipo wanapoiacha hoi
 
Mimi hapa Msukuma orijinale, lakini huko Uzaramoni Mmmh... Hao mawifi wasije nikondesha kwa maneno...!
Usijali Kaka, mambo ya ukabila yameshapitwa na wakati bana... Unaweza ukapata Msukuma wa Mjini mwenye tabia za Kizaramo mwanzo mwisho... Utafanyaje??
 
habari za leo wapendwa. Mwenzenu natafuta mchumba ili nioe ila nataka kujua tabia za wanawake wa kisukuma.

Mimi mwenyewe ni mzaramo wa chamazi

daa! Mwanangu usisubutu kuowa msukuma mimi naishi shinyanga tatizo la wasukuma wanawake wanapenda pesa sana yaani ukiwa huna pesa rafiki yangu mke si wako tena yaani nakuonya usisubutu hawajui kuvumilia halafu kama wewe ni mzaramo ukiwa naye pependi lazima awe na msukuma mwenzake ambaye ni mwaume halafu wanapenda kuzaa sana,ukimtongoza hata kama ni mke wa mtu anakubali tuu.
 
Duh ebanaee,hao noma kwahiyo wanamaindi sana pesa,ndio maana kuna dada mmoja wa kisukuma hapa ofisini kwangu ana miezi miwili tokea aajiriwe lakini jamaa kama 6 wamesha mla uroda ila wanapondea sana uwajibikaji wake kwenye 6x6,ila anaridhisha kimuonekano maana hipses don't lie at all!
 
Mimi hapa Msukuma orijinale, lakini huko Uzaramoni Mmmh... Hao mawifi wasije nikondesha kwa maneno...!
Usijali Kaka, mambo ya ukabila yameshapitwa na wakati bana... Unaweza ukapata Msukuma wa Mjini mwenye tabia za Kizaramo mwanzo mwisho... Utafanyaje??

jamani...ndo uko sharp hivi?
mbona utasababisha nivuke kwa kupiga mbizi lol
 
Kabila si kitu we angalia tabia ya mtu

Wasomi wa historia wanasema hii habari nzima ya makabila inapewa umuhimu mkubwa kuliko invyostahili.

Na kwamba pale tunapofikiri kwamba "kabila" ni "unit" fulani, tutakuja kugundua hata makabila yenyewe hayako "homogeneous"

Hao Wasukuma wenyewe ni mkusanyiko wa vikundi vidogovidogo vingi tu, kama Wanyantuzu etc.

Kama vile unavyoweza kukta Wachagga wa Kibosho na Marangu etc wako tofauti.

Na watu wengi wanaofikiriwa kuwa ni Wasukuma hata si Wasukuma. Nilicheka nilipokuwa naangalia interview ya Lawrence Masha katika kipindi cha Mikasi . Mtangazaji Salama Jabir akamuuliza kwa confidence zote Lau kuhusu wasifu wa wanaume wa Kisukuma, kwa kuamini kwamba Lau ni Msukuma, Lau akamwambia mimi si Msukuma ni Mzinza.

To an extent makabila yanaweza kutumika kupata some general cultural compass.

Lakini katika ulimwengu wa leo unazungumzia Wasukuma gani?

Wasukuma waliotoka nyumbani na kuishi New York kwa miaka 15?

Wasukuma waliotoka nyumbani na kuishi Dar kwa miaka 50?

Wasukuma jina ambao hawajui hata kusalimu kisukuma waliozaliwa na kukulia Dar?

Wasukuma wenye baba na mama Wasukuma?

Wasukuma walio na baba Msukuma na mama wa kabila ya pwani?

Wasukuma walio na baba Msukuma na mama wa kabila ya bara?

Utaona hilo swala la "Wasukuma wako hivi" si rahisi hivyo.
 
Bishanga ni bwenga. Awe Msukuma atambe..?

Hii si mara ya kwanza kuona Wahaya wanachanganywa kapu moja na Wasukuma.

To the chagrin of "basumba batale" and "banamhala".

SMH!!

Just goes to show you how inexact this entire branding is.

Nishawahi kuambiwa na secretary mmoja "mi kila siku nafikiri wewe Mhaya".

I nearly fainted!!

Ofu kwozi, some secretaries think anybody seemingly intelligent, confident and with an above average -by TZ standards- command of that colonial tongue must be Haya!
 
Ukijichanganya tu unyantuzuni, umekwisha, utapelekeshwa kama gari bovu (mkweche)! Loooooooooooooh, shemeji nisamehe sintarudia tena.
 
mzaramo utamweza mwanamke wa kisukuma??

Una chakula, sio mambo ya watu wanakuja tunahesabiana mchele kwenye sahani.
 
Back
Top Bottom