Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
thread zingine bila picha ni useless
Ni weusi utadhani tairi ya basi la Taqwa ya kutoka Dar to HarareWahaya n wanyakyusa futaaa
We kabila gan mama kama uko kwenye listHao wa Iraq na wambulu wanaosifiwa sijawahi kukatana nao..mbulu akicheka tu basi kaharibu..
Sipo..mimi mnyarwanda wa sumbawagaWe kabila gan mama kama uko kwenye list
Daaah! Wanyarwanda wabaya sanaSipo..mimi mnyarwanda wa sumbawaga
Haaha..hatujafikia wanyakyusaDaaah! Wanyarwanda wabaya sana
Wanyakyusa hawajajaliwa face sana lkn kwa shape ni hatareeHaaha..hatujafikia wanyakyusa
Wanashepu kama ya john cena..wahaya sawaWanyakyusa hawajajaliwa face sana lkn kwa shape ni hataree
We jamaaa wewe khaaawarangi ni waajabu sana! Sura nzuri ila mguu kama tubelight!
Uongo rudia utafiti wako, ni warefu, average body size, weupe nyuso za mitelezo, nywele Kama za wahindi.Wafupi mnooo
hhaha leo hawajatuchamba sana kwa jinsi tulivyo na sura za wajomba zetuHeaven Sent shemeji mmetajwa huku!
hhaha leo hawajatuchamba sana kwa jinsi tulivyo na sura za wajomba zetu
Ndo wanavyotuchambaga shemHahahaaa ndiyo wanavyosemaga ???
Watu wana dhambi sana aisee, mbona mimi nawaona mekaa vizuri sana tu ??