MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,783
Ndo wanavyotuchambaga shem
Aiseee pole bwana,
Inabidi siku niwaletee picha za Le Bebez wazione wakimbie!
Ndo wanavyotuchambaga shem
Waletee kabisa shem . Yani nasoma comments watu wamekomaa wanyaki tutolewe kwenye list hahahaAiseee pole bwana,
Inabidi siku niwaletee picha za Le Bebez wazione wakimbie!
Waletee kabisa shem . Yani nasoma comments watu wamekomaa wanyaki tutolewe kwenye list hahaha
Nadhani wewe unamatatizo ya macho1.Warangi
2.Wanyaturu
3.Wameru
4.Wamasai
5.Wasukuma
6.Wachagga
7.Wahaya
8.Wanyamwenzi
9.Wapare
10.Wanyakysa
huyu jamaa anazingua sana kutuwekea hivo vimtu vyakeWambulu vip mkuu, au umepika takwimu? Maana hawamu hii wapishi wameongezeka
Yes wamasai wako poaHadi wamasai wapo!
warangi ni waajabu sana! Sura nzuri ila mguu kama tubelight!
Wapo waarabu wasukuma mbonaWahindi na waarabu mbona hawamo?
Wanyantuzu ni wasukuma hao hao izo ni partitions tu kutokana na wingi waohivi wewe unawafahamu wanyantuzu?
1. Wazaramo1.Warangi
2.Wanyaturu
3.Wameru
4.Wamasai
5.Wasukuma
6.Wachagga
7.Wahaya
8.Wanyamwenzi
9.Wapare
10.Wanyakysa
CC:Naibu Spika Tulia Ackson10.Wanyakysa