Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,194
Nami pia... Nacomment kwa kujidai hapa maana najua mwanangu u mzuri sio mtajwa wa mada.Nipo baba angu nimefurahi kukuona
Nami pia... Nacomment kwa kujidai hapa maana najua mwanangu u mzuri sio mtajwa wa mada.Nipo baba angu nimefurahi kukuona
Nami pia... Nacomment kwa kujidai hapa maana najua mwanangu u mzuri sio mtajwa wa mada.



We bamdogo ebu acha kunijaza na hii sura niliyorithi kwako mm na uzuri wapi na wapiiihehehe.... Yako mtoa mada angekulazimisha mtoke JF huu uzi nisingeuona hapa.We bamdogo ebu acha kunijaza na hii sura niliyorithi kwako mm na uzuri wapi na wapiii
We bamdogo ebu acha kunijaza na hii sura niliyorithi kwako mm na uzuri wapi na wapiii
Malizia stori mkuu,baada ya kukutana naye ulikimbia au ulifanyaje?
hehehe.... Yako mtoa mada angekulazimisha mtoke JF huu uzi nisingeuona hapa.



Nimekumbuka msemo wako bamdogo unamsifia mtu tu hata kama yupoje usimvunje moyo nimekuelewa sanaHalafu humu siwajui watu wengi ujue.Wacha weee. Kwahiyo wewe mbaya? Kina sisi tusemeje halafu? umenifanya nimkumbuke @Wambeke
Nimekumbuka msemo wako bamdogo unamsifia mtu tu hata kama yupoje usimvunje moyo nimekuelewa sana
Asante baba angu kwa kunijaza




Inabidi iwe hivyo,au alizima taa wasionaneItakua alikula hivyo hivyo japo kiubishi afidie gharama zake..
Alimziba uso na mto labda huku akiwa anamkulaInabidi iwe hivyo,au alizima taa wasionane
Hahhahha wambeke chizi kila mtu kwake mbaya ila nimemmiss na mm jamani ebu mtafute siku tuonane nae kwa G
Bamdogo jamani ebu acha hizo habariHalafu humu siwajui watu wengi ujue.
Kumbe haka kamwanangu kazuri eeeh?
Inabidi iwe hivyo,au alizima taa wasionane