benluv
JF-Expert Member
- Feb 13, 2016
- 441
- 342
yes,ni kweli...agiza kinywaji kwa bill yanguUrafiki ukijengwa nje ya kingono hudumu sasa hamjuani mnaanza kunyaduana unategemea nini hapo sasa. Urafiki kwanza hatujui kesho yetu
yes,ni kweli...agiza kinywaji kwa bill yanguUrafiki ukijengwa nje ya kingono hudumu sasa hamjuani mnaanza kunyaduana unategemea nini hapo sasa. Urafiki kwanza hatujui kesho yetu
Umri wangu ni siri mkuu, why umeniuliza hvouna umri gani?
A: 28-33
B:34-38 or??
Halafu wewe hiyo avatar inaweza kuangusha hadi wenye hekima kama sisiUmri wangu ni siri mkuu, why umeniuliza hvo
kuna Yule anajiita Madame B daah aseee .ukija kumwona daaah waweza kimbiaUsidaganywe na avator yangu na comments zangu Mimi na sura ka ya Pinda kabisa oooh, si chochote
jinsi unavyowadis wanaume wa jf,.. sina maana mbaya madamUmri wangu ni siri mkuu, why umeniuliza hvo
hahahahahahaahahahahahaaaa.....kaka we mbaya wewewewweeee....kuna Yule anajiita Madame B daah aseee .ukija kumwona daaah waweza kimbia
Urafiki ukijengwa nje ya kingono hudumu sasa hamjuani mnaanza kunyaduana unategemea nini hapo sasa. Urafiki kwanza hatujui kesho yetu
Habari zenu wana MMU,
Usidanganyike na mada zao.
Usidanganyike na avatar zao
Usidanganyike na swaga zao.
Usidanganyike na usomi wao.
Usidanganyike na kejeri zao humu jukwaani.
Usidanganyike na kujifanya mambo safi
Wanaoponda wanaume wafupi, mara wasio na magari mazuri.
Wengi wao ukikutana nao hutaamini kile ukionacho mbele ya macho yako.
Huyu
Acha nipambane na hawa wa kina mwajuma ndala ndefu wa huku kwetu KIMBANGULIRE.
Leo ninatubu na storudia kumpenda mtu kwa avatar yake au picha.
Camera za 360 na simu za tecno zinawapendelea sana.
Nasema hivi .
(NIMETUBU SITARUDIA)
Muwe na na siku njema.
uko sawa boss ladyKweli. Ukimpenda mtu ukitaka muwe marafiki usiweke mapenzi mtadumu. Tatizo 80% ya wanaume wanakutanaga na wanawake kwa lengo la kunyanduana. Mimi nilioonana nao ilikua kwa ajili ya urafiki. Nashukuru tuko marafiki na tunaheshimiana vizuri kabisa. Waliotongozwa wakakataliwa wamekubali ukweli maisha yanasonga. Waliovumilia sura yangu mbaya wapo tuko marafiki mpaka sasa. Kikubwa ni kuangalia huyu anaandikaga nini. Kuna uhusiano mkubwa sana wa anachokiandika mtu huku kuhusu wengine na alivyo nje. Wale watu wa kudis dis kila kitu hata nje ya hapo atadia tu
hahahahahahaahahahahahaaaa.....kaka we mbaya wewewewweeee....
hahahahahaahahaaa kaka we unataka kutuchekesha jioni hii....basi usimalizie![]()
![]()
akibisha naweka pics yake.hapaa
na kuna mwingine nilikutana naye majuzi tunagombea daladala huyu humu anajifanya wa viwangoooo kumbe chokooo
![]()
![]()
![]()
akibisha naweka pics yake.hapaa
na kuna mwingine nilikutana naye majuzi tunagombea daladala huyu humu anajifanya wa viwangoooo kumbe chokooo
uko sawa boss lady
Kweli kabisa nimewahi kuwa na urafiki na mtu zaidi ya three years tulipoanza mahusiano tumegombana kabisa kila mtu na hamsini zake sasa hivi. Urafiki ni muhimu kuliko kunyaduana aisee, mkinyaduana ni rahisi kuja kuwa maadui wa kudumu sana, ndo mana Mimi huwa sipendi mahusiano na wanaume ambao staki kuua urafiki huwa wananiuliza sana nawakwepa kumbe mi staki kuwapoteza.Kweli. Ukimpenda mtu ukitaka muwe marafiki usiweke mapenzi mtadumu. Tatizo 80% ya wanaume wanakutanaga na wanawake kwa lengo la kunyanduana. Mimi nilioonana nao ilikua kwa ajili ya urafiki. Nashukuru tuko marafiki na tunaheshimiana vizuri kabisa. Waliotongozwa wakakataliwa wamekubali ukweli maisha yanasonga. Waliovumilia sura yangu mbaya wapo tuko marafiki mpaka sasa. Kikubwa ni kuangalia huyu anaandikaga nini. Kuna uhusiano mkubwa sana wa anachokiandika mtu huku kuhusu wengine na alivyo nje. Wale watu wa kudis dis kila kitu hata nje ya hapo atadia tu
kuna Yule anajiita Madame B daah aseee .ukija kumwona daaah waweza kimbia
hahahahahahaahahahahahaaaa.....kaka we mbaya wewewewweeee....
Haina haja Mkuu![]()
![]()
![]()
akibisha naweka pics yake.hapaa
na kuna mwingine nilikutana naye majuzi tunagombea daladala huyu humu anajifanya wa viwangoooo kumbe chokooo