king otaligamba
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 2,178
- 2,038
Kuanzia sasaiv dhambi yako imesamehewa.
Hahahahaha cariha ila me ushauri wangu muwe mnaweka avator ambazo zinaendana nanyinyi bac ili siku tukikutana mshtuko wetu usiwe mkubwa hii si kwawanawake tu bali hata kwavidume, mwanaume unasura kama wasira alafu unaweka evator ya chriss brown

jamaniHahahaha, km kweli unafanana na hy avatar ,basi unastahili sifa zoteUjumbe tumeupata.. ndo maana mimi sitaki kuwakonfyuz wapenzi watazamaji naweka avatar yangu au ninayo fanana nayo siku hizi. Niliweka avatar ya mdada mweusi siku mtu kaniona akaniambia alijua na mimi nitakua mweusi kama ile avatar. Nikasema sasa yale mambo ya kuwaaminisha watu mimo beyonce kumbe ebitoke yaishe.
Wow! Umenifanya niiangalie avatar yako kwa mara nyingineUjumbe tumeupata.. ndo maana mimi sitaki kuwakonfyuz wapenzi watazamaji naweka avatar yangu au ninayo fanana nayo siku hizi. Niliweka avatar ya mdada mweusi siku mtu kaniona akaniambia alijua na mimi nitakua mweusi kama ile avatar. Nikasema sasa yale mambo ya kuwaaminisha watu mimo beyonce kumbe ebitoke yaishe.
Hahahaha, km kweli unafanana na hy avatar ,basi unastahili sifa zote
Wow! Umenifanya niiangalie avatar yako kwa mara nyingine
Na wewe piaNaunga mkono hoja
We mama utakuwa garasa halafu mashauzi kama yote
jikubali tu usijipe usivyonavyo


Ni bora hata muwe mnaweka vitu vingine hatatu sura ya image ya kondoo, ila mnavyoweka za kina amber rose mnadraw attention zetu na personalization ni kosa tutawapeleka mahakamaniUjumbe tumeupata.. ndo maana mimi sitaki kuwakonfyuz wapenzi watazamaji naweka avatar yangu au ninayo fanana nayo siku hizi. Niliweka avatar ya mdada mweusi siku mtu kaniona akaniambia alijua na mimi nitakua mweusi kama ile avatar. Nikasema sasa yale mambo ya kuwaaminisha watu mimo beyonce kumbe ebitoke yaishe.




Hii avatar nafanana nayo kiasi.
Hiyo sio mimi shoo

Ni bora hata muwe mnaweka vitu vingine hatatu sura ya image ya kondoo, ila mnavyoweka za kina amber rose mnadraw attention zetu na personalization ni kosa tutawapeleka mahakamani
Nimekupata mamy!![]()
Hahahaha, aseeBasi utataka kujifanya hujawahi kuniona. Mscheeww. Hii avatar nafanana nayo kiasi. Usitake watu waseme mbona wewe una jojoba tank hapa kwenye avatar halionekani
Ana bahati mbayaaambona wenzao tunapata mademu viwango safi kabisa mtandaoni? au huyu mwenzetu hatujaelewa mitandao gani anayoitumia...


Tupe basi ubuyuuu![]()
Ahhahahahahahatushamaliza kuutafuna tunasukutua tu hapa. Tumekubaliana muanze kuweka avatar za kufanana na nyie. Msiwavuruge watu
Tupe basi ubuyuuu![]()
tushamaliza kuutafuna tunasukutua tu hapa.
